mwaibile
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 318
- 802
Natumaini wote tuko pao kabisa kwa uwezo wa Mungu
Hivi kuna ulazima gani kwa hawa ndugu zetu wanao jiita Wachungaji sijui waubili sijui mitume maana naona kama ushuhuda mwingi umejaa uwongo sana na watu kuingizana mkenge.
Maana naongea haya nimeyashuhudia hapa ninapo kaa kuna mzee mmoja amepata strock yaani kapalalaizi upande mmoja kwaiyo kuna mchungaji yupo Buza anajiita Mzee Misukule ni mtu kutoka Kongo akawa anasikia mahubili kupita kwenye redio.
Sasa kuna mama akawa anatoa ushuhuda kwenye redio kuwa alienda kujifungua akaambiwa mtoto amekufa basi huyo mama akachukua maji ya upako ya mchungaji huyo basi akamwagia mchungaji huyo baada ya hapo mtoto akaamka.
Basi huyo Mzee aliyepata Strock kesho yake akakulupuka hadi huko Buza naye akapate maombi apone kilichotokea kaenda kapigwa hela ya maombi na hakuna alichofanikiwa alichokutana nacho ni tofauti kabisa na ushuhuda kwenye redio kwaiyo naona ushuhuda nikama maigizo kwa sasa.
Hivi kuna ulazima gani kwa hawa ndugu zetu wanao jiita Wachungaji sijui waubili sijui mitume maana naona kama ushuhuda mwingi umejaa uwongo sana na watu kuingizana mkenge.
Maana naongea haya nimeyashuhudia hapa ninapo kaa kuna mzee mmoja amepata strock yaani kapalalaizi upande mmoja kwaiyo kuna mchungaji yupo Buza anajiita Mzee Misukule ni mtu kutoka Kongo akawa anasikia mahubili kupita kwenye redio.
Sasa kuna mama akawa anatoa ushuhuda kwenye redio kuwa alienda kujifungua akaambiwa mtoto amekufa basi huyo mama akachukua maji ya upako ya mchungaji huyo basi akamwagia mchungaji huyo baada ya hapo mtoto akaamka.
Basi huyo Mzee aliyepata Strock kesho yake akakulupuka hadi huko Buza naye akapate maombi apone kilichotokea kaenda kapigwa hela ya maombi na hakuna alichofanikiwa alichokutana nacho ni tofauti kabisa na ushuhuda kwenye redio kwaiyo naona ushuhuda nikama maigizo kwa sasa.