Mauaji ya watu 17 Musoma mwaka 2010

Mauaji ya watu 17 Musoma mwaka 2010

Mashemeji zangu hawa huwa hawana mchezo ...kisasi baada ya miaka minne?...nitakuja kumuona joyce wangu hapo mwisenge😂😂alinipa heshima mimi mwizukul
 
Huko ndio akina Muraaaaa walipo? AU BASI TU.
Nguvu nyingi akili kisoda.Angalau sasa dini,shule na sheria zimewastaarabisha .wanajua ukitumia nguvu imekula kwako haya yatakuhusu jela,kufilisiwa mifugo,au kuishi ukimbizini so wengi wanachagua njia sahihi ya matumizi ya akili zaidi nguvu inabakia shambani.
 
Wakajitokeza kina "mura" wakiwa na mapanga. Ndani ya dakika tano wale vijana wakawa wamechanganyika na nyama waliyowinda. Haikujulikana ipi nyama ya nungunungu na ipi ni nyama za wale vijana watatu
Wale wasiojulikana waliotumwa kichwa cha tajiri wa mabus na jiwe waliokolewa na police wasiwe mishikaki kama bado wapo hai sidhani watatamani tena operation za Tarime tena watachagua kuacha kazi.Walionja kifo
 
Umenikumbusha mbali mkuu Nakumbuka tukio hilo lilivyotekea Mwaka huo nikiwa pale kwenye nyumba za jeshi Buhale opp na shule ya sekondari buhale Tulifika eneo la tukio saa kumi na moja asubuhi kwenye tukio aisee watu walifanya unyama
 
Mara kulikuwa na matukio ya ajabu sana kipindi kile..ukeketaji mmojawapo nadhani ndio sababu ya kuwa na kanda maalum ya polisi.
 
Kumbe ndio maana huwa unajiita Mnyarwanda, OK. Karibu Kona Bar Mbezi Beach kwa Mzee Juma Mugo tuchome nyama
Nimecheka sana. Nisalimie Mzee Juma, Mzee Mugwe, Profesa Kohi, akina Mbwai Kitundu, Mama Tumaini, akina John ( Mwendeshs Gari la Majeneza ), Haji Londa na huyo Dada wa Kichagga hapo ( aliyeolewa na Mzanaki Mwenzangu ) mnapokunywa Pombe, Kuchapana Vyupa na Kugongeana Mademu / Wake zenu

Vipi Tumaini Mkono anaendeleaje Kiafya?
 
Nimecheka sana. Nisalimie Mzee Juma, Mzee Mugwe, Profesa Kohi, akina Mbwai Kitundu, Mama Tumaini, akina John ( Mwendeshs Gari la Majeneza ), Haji Londa na huyo Dada wa Kichagga hapo ( aliyeolewa na Mzanaki Mwenzangu ) mnapokunywa Pombe, Kuchapana Vyupa na Kugongeana Mademu / Wake zenu

Vipi Tumaini Mkono anaendeleaje Kiafya?
Kumbe na wewe kijiwe chako, hahah hahah hahaha.
Ngoja nimwambie Sinde jumapili ijayo akuandalie salala kilo 2
 
Back
Top Bottom