Mauaji ya Watoto Njombe: Washukiwa watatu wapandishwa mahakamani

Econometrician

JF-Expert Member
Oct 25, 2013
15,797
28,458
1549983675477.png


Washukiwa watatu wa utekaji na mauaji ya watoto wa chini ya miaka 10 wilayani Njombe, kusini magharibi mwa Tanzania wamepandishwa mahakamani hii leo.
Watuhumiwa hao waliowekwa wazi kwa mara ya kwanza hii leo ni Nasson Kaduma, Joel Nziku na Alphonce Danda.
Wote wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Njombe.
Gazeti la Mwananchi linaripoti kuwa Nje ya mahakama hiyo ulinzi mkali wa polisi umeimarishwa na msafara wa watuhumiwa hao ukisindikizwa na magari sita ya polisi.
1549983784945.png

Washukiwa wa mauaji ya watoto Tanzania wapandishwa mahakamani
 
Back
Top Bottom