Mauaji ya visasi

u
menichanganja mkuu,ebu nivavadulie kidogo hapo,si kwamba nakubishia hapana,kwani elimu ni bahari,kumbe abel hakua mtoto wa adam ya adam,imekaaje hapa,manake tunaambiwa MUNGU alimuumba adam na hawa pekee na watoto wao ndio hao,sasa huyo kidume aliyejifanya kumnanii mke wa adam kama yaliyomtokea masanja alitokea wapi?...nifafanule mkuu kwani natamnua kuna vitabu vimefichwa kama kitabu cha enock,,,,lete uzi mazee
 
Ni simulizi nyinginezo kwamba siku bibi Eva anakula tunda kilinasia halafu baby Adam akaweka nakshi tuu
 
Mwanafunzi wa shule ya msingi Mtumba, Farida Makuya (16) aliyetarajia kuanza mtihani wa darasa la Saba leo, ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani nyumbani kwao Mtumba Jijini Dodoma na watu wasiojulikana huku watu hao wakitokomea bila kuchukua kitu chochote
 
Nimeongeza kitu hapa respect kwako mshana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu makubaliano yafatwe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Bado nasubiri kuona ni wapi pamesema dhabihu ni mwanamke Kaini na Abel walikuwa wanagombea sijapoana....
 
Uongo, uongo, uongo, uongooooo
 
Ila Kuna watu makatili Jamani..uondoe uhai wa mtu kisa Mali/mapenzi/sijui vitu gani gani...kuua hapana Jamani...ukizingua kisasi nitalipa kinamna nyingine lakini sio kuua Jamani..watuuu
Unamoyo kama wangu aisee
 
Umemjibu vema kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…