Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
hapana si kwamba hana huruma bali anaishangaa huruma yenu iliyokuja miaka kadhaa baada ya tukio!! Je mlikuwa usingizini au kuna ka-ajenda flani hapo???Ina maana wewe huna huruma kabisa na ndugu zetu wananchi wa Pemba waliouwawa !?