lm317
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 451
- 44
Ina maana wewe huna huruma kabisa na ndugu zetu wananchi wa Pemba waliouwawa !?Nimesema sichangii
Ina maana wewe huna huruma kabisa na ndugu zetu wananchi wa Pemba waliouwawa !?Nimesema sichangii
Nimesema sichangii
Hoja ni nzito, waliotajwa kama wauwaji ni walikuwa au wapo katika madaraka, na wenyewe wanasema "Jusice is the interest of teh people in power" kwa maana hiyo kilichofanyika Pemba ni Justice hivyo hakuna wa kushatakiwa kwa kuwa kwenye kutenda haki hashtakiwi!, Watanzania bado hawajaandaliwa kwa hilo.
bila hawa kuwa na imani na sisi tungeuliwa zaidi sababu watu walikua tayari kwa lolote na kulipa kisasihawa nao lazima waongezwe:
Maalim seif sharrif hamad
prof. Lipumba maana wao waliwatuma wananchi waaandamane lakini wao wakasepa. No hata hawawakumbuki marehemu!!!
Mnamo tarehe 27 Januari 2001, makumi ya wananchi wa Pemba waliuawa na vyombo vya usalama katika maandamano na mamia kadhaa kukimbilia uhamishoni nchini Kenya..kuna mambo mengi sana yamepatwa kusemwa, lakini jambo la msingi kabisa; ambalo ni kwa watuhumiwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria, halijapata kutimizwa..kubwa la kujifunza ni kwamba viongozi wetu wa kisiasa ni njaa kali sana, nathubutu kusema CUF kinaongozwa na viongozi waliokosa dira, wenye tamaa ya madaraka na waliochoka kimawazo..ingekua ni chama makini, naamini wangepiga sana kelele ili waliopanga na kutekeleza mauaji yale wafikishwe mbele ya vyombo vya sheria..thamani ya maisha ya binadamu haipimwi kwa unafiki wa MUAFAKA, ambao mwisho wa siku hautaleta tija wala kubadilisha hali ya maisha ya mzanzibari wa kawaida..wito wangu ni kwamba, Zanzibar si mali ya CUF au CCM pekee, ni mali ya Wazanzibari wenyewe, hivyo basi, kama ambavyo tumeshuhudia jinsi viongozi na maafisa mbalimbali duniani kote wanavyowajibishwa kwa uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi zao husika, ni wakati muafaka sasa kwa wenye mapenzi mema na machungu ya kweli kwa Zanzibar, kusimama na kupigania utendekaji wa haki kwa waliotimiza na walioathirika na mauaji ya Pemba mwaka 2001..iwe ni kwa kuanzisha uchunguzi wa ndani au wa nje, mwisho wa siku ni kwamba haki lazima itendeke!!!
Binafsi naamini wafuatao wanalazimika kutoa maelezo kuhusu kwa nini wasiwe ni washukiwa katika kupanga mauaji hayo:
1. Benjamin Mkapa
2. Omar Mapuri
3. Omar Mahita
4. Apson Cornel
5. listi iendelee tafadhali........
Nimesema sichangii
alfred kizuguto aliekua rpc wa zenj na kamishna wa police zenj,na ma rpc wa kaskazinipemba nakusini pemba wawakati huo,Hawa nao lazima waongezwe:
Maalim Seif Sharrif Hamad
Prof. Lipumba maana wao waliwatuma wananchi waaandamane lakini wao wakasepa. No hata hawawakumbuki marehemu!!!
Nimesema sichangii
Hawa nao lazima waongezwe:
Maalim Seif Sharrif Hamad
Prof. Lipumba maana wao waliwatuma wananchi waaandamane lakini wao wakasepa. No hata hawawakumbuki marehemu!!!
Kweli wewe mwanaume SAWASAWA.Seif Hamad kishapewa Benz unafikiri atafikiria hayo??? Hamna kazi yoyote anayofanya zaidi ya kuzindua majengo kwa niaba ya Shein....SAWASAWA.
just and unjust are relative terms, depending on who is defining on which environmnet. Human being cannot know the truth as it is but as it appears to him!Kwani justs ni sawa na haki?
Huko Rep. of S. Africa, Mandela kuwekwa ndani haikuwa justs? Maana katiba yao iliruhusu hivyo. Je ilikuwa haki?
Nilikuwa sijui, kumbe ile ya Arusha ni maalumu kwa kesi ya Rwanda tu!!