Mauaji ya kimbari kwa mifugo Ngara

Mauaji ya kimbari kwa mifugo Ngara

Lengwanan

Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
9
Reaction score
2
Wadau angalieni haya mauaji ya kimbari kwa mifugo huko Ngara.
Inasemekana wenye mifugo wamegoma kutoa rushwa as a result jamaa wa wanyama pori wakaamua kuwafanyia kweli,nchi hii bwana.

Imeelezwa mwandishi wa habari kafukuzwa asiripoti hili janga.

Ng'ombe wamewekwa ndani ya old borrow pit lililojaa tope na wameachwa wajifie taratibu kwa njaa na kiu.

Haki za wanyama ziko wapi na mashirika kutetea viumbe yako wapi?View attachment 155393 1398879433106.jpg 1398879432782.jpg 1398879432611.jpg 1398879432259.jpg 1398879431605.jpg View attachment 155403View attachment 155402View attachment 155401View attachment 155400View attachment 155399View attachment 155398View attachment 155397View attachment 155396View attachment 155395View attachment 155394 1398879433534.jpg
 
Hao ni ng'ombe wa Tanzania au Rwanda?
 
kwa nini usiandike kitu kinachoeleweka? au na wewe ni mfugaji kwa hiyo hao askari wa ng'ombe pori wankufukuza.
 
afu ndio mwehu aje kusema Serikali ya ccm itandelea kutawala,so what?
 
Wadau angalieni haya mauaji ya kimbari kwa mifugo huko Ngara.
Inasemekana wenye mifugo wamegoma kutoa rushwa as a result jamaa wa wanyama pori wakaamua kuwafanyia kweli,nchi hii bwana.

Imeelezwa mwandishi wa habari kafukuzwa asiripoti hili janga.

Ng'ombe wamewekwa ndani ya old borrow pit lililojaa tope na wameachwa wajifie taratibu kwa njaa na kiu.

Haki za wanyama ziko wapi na mashirika kutetea viumbe yako wapi?View attachment 155393View attachment 155408View attachment 155407View attachment 155406View attachment 155405View attachment 155404View attachment 155403View attachment 155402View attachment 155401View attachment 155400View attachment 155399View attachment 155398View attachment 155397View attachment 155396View attachment 155395View attachment 155394View attachment 155409
hao ng'ombe kama sijakosea ni wa wahamiaji haramu,pia hao ngombe wameleta uharibifu mkubwa wa mazingira ngara,Kyle kwao Rwanda hawaruhusiwi kufuga free range hivyo wanakimbilia tz,
 
Hu ni ukatili kwa wanyama ni hi suala haivumiliki kwa watu wenye akili timamu,inasikitisha.
 
Hu ni ukatili kwa wanyama ni hi suala haivumiliki kwa watu wenye akili timamu,inasikitisha.

Hii inakuonyesha wazi jinsi baadhi ya watanzani wanavyoweza kufanya mauaji ya kimbali hata kwabinadamu kama watu wakiendelea kudharau haya,kwani hata wahutu kabla kuchinja watu walianza kuwaua ng'ombe wa watusi mpaka wakafikia kuchinja watu,hii inaonyesha chuki iliyojengwa dhidi ya wenye ng'ombe hii ni aibu kwa tanzania,hawajamaa wanaoua ngombe ndio wakwanza kupenda nyama,sasa wakiwamaliza hao ng'ombe nimatumaini yangu wanyamapori watakua mashakani kwani wakazi wamaeneo hayo hawawezi kuishi bila kula nyama.
 
Aise umesema ukweli..askari wa tanapa huwa ni wakatili kupita kiasi,mnyama anakosa gani?je haki za wanyama iko wapi?
 
Naomba ufafanuzi wa neno "kimbari" kama ulivyolitumia kwenye badiko hili...
Ni halali kuhusishwa na mauaji ya mifugo?
 
Hivi hapo mnyama anaadhibiwa kwa kosa gani alilotenda na kwa mamlaka yepi??
 
mwanafyale said:
Kwa hiyo unaona ni vyema waje wale mazao ya ndugu zako na kuwaacha wanakufa njaa? WW NI KENGE KABISA

Mkuu sehemu zile kunamapori makubwa hakuna haja ya kuwapeleka kwenye mashamba,hii ni kampeni tu ya kuwafilisi wenyemifugo,na chuki inayopandikizwa dhidi ya wafugaji wa naeneo hayo kwani wengi wao wanaasili ya kitusi,hiyo ni hutu ideology dhidi ya watusi,na mwishowe wakiwamaliza hao ng'ombe wataingilia watu,tusubiri si mudamurefu tutaona backfire.
 
NDYO mana nasema wameanza na ngombe watakuja kuua watu,km unaweza kumfanyia ukatili mnyama na kw binadamu unaweza pia
 
Hvi kazi ya wizara ya mifugo ni nn? Km ngombe wanaweza kuuawa kikatili namna hyo.nn kazi ya waziri husika?awajibike
 
Poleni, lakin hatawafugaj baadhi yao wanatumia mifugo yao kuvunja sheria na hatakutotambua hak ya wengine kama wakulima.
 
kutokutambua haki y wakulima kosa lipo kw wizara husik.kwnn isiwatenge maeneo yakuchunngia?ukiua ngomb kikatil ndy suluh
 
Back
Top Bottom