inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,966
- 18,259
Kennedy alipigwa risasi nyingi toka pande tofauti,Oswald kabebeshwa tu jumba bovu ndiyo maana wakamuua akosekane wa kumhoji,yeye alikua na kawaida ya kwenda kugonga Pepsi Hilo jengo,kilichomuua Kennedy ni kutaka kuibadili CIA,hakuipenda, CIA wakamwambia mdogo wake bro wako tunamuua, CIA haiwezi badilishwa,na Vita Vietnam Wana walikua wanagonga &8m per day yeye anataka iishe