Mauaji ya askari Arusha

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,898
Reaction score
828,496
#BREAKINGNEWS
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watuhumiwa watano kwa tuhuma za mauaji ya Askari Polisi, Omary Mnandi (30), aliyekuwa mkazi wa Jiji la Arusha.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Oktoba 12, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Justine Masejo, amesema tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia leo katika Baa ya Simaloi iliyopo eneo la Kaloleni, Jijini Arusha.

Kamanda Masejo amesema watuhumiwa hao wanadaiwa kumshambulia Mnandi na kumsababishia majeraha makubwa sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyosababisha kifo chake alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru.

Ameeleza kuwa uchunguzi wa awali umebaini chanzo cha tukio hilo ni ugomvi uliotokana na ajali ndogo ya magari, baada ya gari la marehemu lenye namba T.402 CNC kugonga gari jingine lenye namba T.734 AXR linalomilikiwa na mmoja wa watuhumiwa, jambo lililosababisha kutoelewana na hatimaye kushambuliwa.

Kamanda Masejo amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo na kwamba watuhumiwa watapelekwa mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika.

 
Kwa hiyo siyo kuzidiwa tena na kilevi, na kusababisha kwenda kwenye gari ambalo siyo la kwake! Na badala yake, waligongana!
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
 
Ilikuwaje akaingia kwenye gari lisilo lake na kuchapa usingi wa pono au alitaka kuteka mwenye gari mchongo ukabuma
 
Umesema gari la mtuhumiwa limeharibika sana baada ya ajali?
 
This is what is called 'a bizarre '...
An undefined outcome... A stupid event or explanation
 
Mauaji ya Ali Kibao wanashikilia watu wangapi?
 
Polisi kuuawa ni jambo linaloleta faraja sana, haya wanayofanyia wananchi ni vizuri nao kila kunapotokea opportunity wananchi wawe wanawaua hao polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…