alikuwa kamaliza zamu yake ya kuwaunganisha waamerika,Baada ya vita vikali vya wenyewe kwa wenyewe. Huyu jamaa hakuwahi kuenjoy WhitehouseAliuawa akiwa Rais au?
Yaani wanamuua rais wao?!
Kwani aliwakosea nini jamani!
Kumbe marais huwa wanauawa???!
Kichwa kinaniuma.
Wananchi wake hawakumuombea kwa mungu!!!!?
Tupeni ukweli sasa. Mkipingana sana mtatuchanganya sie wa huku Nanjilinji kusiniSidhani kama ilikuwa hivyo. Nilivosikia alikuwa ndani ya gari
Huwezi kujua labda alikuwa na element za uchwara ndio ikawa hivyo.Aliuawa akiwa Rais au?
Yaani wanamuua rais wao?!
Kwani aliwakosea nini jamani!
Kumbe marais huwa wanauawa???!
Kichwa kinaniuma.
Wananchi wake hawakumuombea kwa mungu!!!!?
Enzi hizo hakukuwa na bastolaHivi ndivyo alivyouwawa mwanafalsa huyu.
No research no right to speak.Enzi hizo hakukuwa na bastola
Unamaanisha MALCOM LUMUMBA mkuu?Lincoln aliuawa na Sniper kutokea kwenye godown na muuaji alikamatiwa mochwari.
Ngoja mkuu MALCOLM aje atupe vitu in deeply.
Abraham linkoln baada ya kuendesha vita vya wenyewe kwa wenyewe na kufanikiwa kulinganisha taifa maana bila yeye USA ingekuwa ni kama bara la afrika lenye nchi kibao. Na kitu kikubwa alichokifanya ni Kusign Imancipation decralation ambayo ilikomesha biashara ya utumwa na kuwaudhi pamoja na kuongeza uadui na wazungu wa kaskazini waliokuwa hawataki hiyo kitu, Kosa lililotokea ni bodyguard wake alipoondoka kidogo tu kuelekea kwenye saloon ya jirani ajipatie japo kinywaji. Jamaa aliyepangwa kitambo akapata chance ya kumpiga risasi. Alikuwa ni mtu simple asiye na makuu maana alitokea kijijini.Tupeni ukweli sasa. Mkipingana sana mtatuchanganya sie wa huku Nanjilinji kusini
uko vzr, alikuwa theatre anaangalia movie. Kumbuka kulikuwa na uasi mkubwa sana US wakati huo na kama kabla ya kupanga kumuua walipanga kumteka ili serikali iachie mateka wa waasi, lkn mission ilibadilika baada ya Hotuba yake ya 1865 ya kutetea watu weusi ikawa anatafutwa auwawe. Maana Wazungu hasa wa upande wa kaskazini mwa nchi walipinga mtu mweusi kuwa huru USNilishafika kwenye Museams ya Lincolini , wanasema aliuwawa wakati akiwa theatre anaangalia movie kuna KKK mmoja ndo alimshoot Linc akiwa kwenye stage anaangalia akamshoot but inaonyesha ilikuwa ni inside mission
Unamaanisha MALCOM LUMUMBA mkuu?
Tupe vitu in deeply kama mdau niliyemquote alivyosema mkuu.Naam Nifah!