Mauaji Rwanda 1994

Labda misikiti ni michache au Uislamu haukuwa umeenea kiasi cha kuaminika.
 
Umemaliza mjadala mkuu
 
Walionusurika hawataki kabisa kukumbuka matukio hayo ya kinyama.Watu wengine waliteketeza ukoo kabisa na kufutika.
 
Nilipewa story na aliye kimbia ayo mauaji ilikuwa inatisha sana paka leo uwa atamani kurudi rwanda
Tabora zipo kambi kadhaa za wakimbizi toka Rwanda Yan wanasimulia mate so waliyopata hata hawatamani kurudi nyumbani kwao kabisa ,
Kuna mama mmoja alisema alitetekeleza mtoto porini akiwa hai ili kuokoa maisha yake akaja tanzania
 
Hapana bana
Ila lengo la mleta mada nikuonesha mzigo wa huyo marehemu hapo pichani tuuu. But vita ilitisha sana ilee
nilkuwa naweka PIA zile za mauaji ya kanisani zikagoma ntajaribu tena badae
 
Tabora zipo kambi kadhaa za wakimbizi toka Rwanda Yan wanasimulia mate so waliyopata hata hawatamani kurudi nyumbani kwao kabisa ,
Kuna mama mmoja alisema alitetekeleza mtoto porini akiwa hai ili kuokoa maisha yake akaja tanzania
Mkuu yani mm nachomba tanzania isitokee ayo majanga ni hatari sana unapoteza baba mama mjomba shangazi kaka kwa wakati mmoja ni kitu kigumu sana
 
Kwenda kujificha msikitini ni kama kumkana Kristo heri hao waliokufa kuliko hao waliobaki hai kwa kujificha Msikitini
 
Hayo yalishapita kwanini ukumbushie ?au una jambo ? Forgerlty the past and forgive. Kisasi ni cha Mungu .
 
Huyo aliyefungwa mikono amejaaliwa K.LUGOLA cha mtoto.

Poleni wanyarwanda, vita ni mbaya sana! Sema haikwepeki kama haki hakuna!
 
Huyo aliyefungwa mikono amejaaliwa K.LUGOLA cha mtoto.

Poleni wanyarwanda, vita ni mbaya sana! Sema haikwepeki kama hakuna hakuna!
Hongera kwa kuwa "jf gold member" mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…