Mwanajeshi aua wananchi watano kwa risasi
WATU watano wa kijiji cha Maguba, wilayani Ulanga mkoani Morogoro, wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa kwa risasi na mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), katika mapambano ya kujihami baada ya wananchi hao kuvamia ....
Source Habari leo