Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Mauaji holela ya raia TZ na askari au dola yamekuwa yakitokea kila kukicha, na yamekuwa yakijirudia rudia. Wauaji wamekuwa wakijitetea kwa sababu nyepesi nyepesi. Bahati mbaya sana record huwa haziwekwi. Hebu tujaribu kuweka record sawa kwenye thread hii.
2005 todate
Songea (watu ?)
Arusha (watu ?)
Tabora(watu ?)
Mbeya(watu ?)
1995 - 2005
Pemba (Watu 27)
1985-1995
Dar (Mwembechai) (watu ?)
1961 - 1985
(wenye data wekeni)
Note: 'Naming and shaming with data ' ni moja kati ya njia za kupambana na udhalimu huu...
2005 todate
Songea (watu ?)
Arusha (watu ?)
Tabora(watu ?)
Mbeya(watu ?)
1995 - 2005
Pemba (Watu 27)
1985-1995
Dar (Mwembechai) (watu ?)
1961 - 1985
(wenye data wekeni)
Note: 'Naming and shaming with data ' ni moja kati ya njia za kupambana na udhalimu huu...