Nadhani hunizidi mkuuWamarekani ninavyowachukia....
Marekani kila shambulio kwaoMajasusi ndo wanapanga mauaji ya idadi hii ni ya kigaidi,ya idadi hii si ya kigaidi?
Nini kinatosha kusema mauaji haya si ya Kigaidi.Unawafyatulia watu risasi unawaua wengi tu,na ikiwa mauaj ya aina hiyo hiyo yakitokea Uturuki yangeitwa ya Kigaidi
Media za marekani zinaweza kublind, hili shambulio lingekua limetokea Ulaya like ufaransa wangesema la kigaidi,ila huyo jamaa wanasema 'MAUAJI' NA MUUAJI NI CHIZI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Marekani kila shambulio kwao
Wanakuambia sio lakigaidi
Kwingineko haraka kutangaza lakigaidi
Watadanganya hivyo hivyoMedia za marekani zinaweza kublind, hili shambulio lingekua limetokea Ulaya like ufaransa wangesema la kigaidi,ila huyo jamaa wanasema 'MAUAJI' NA MUUAJI NI CHIZI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watadanganya hivyo hivyo
Lakini ukweli utajitenga
Si ya kigaidi kwa duru za awali za kijasusi za Marekani.
Kwalipi walilokudhulumu mpaka uwachukie Wamarekani? Au ni wivu wako tu?Wamarekani ninavyowachukia....
Ukishazoea kuua utaendelea kuua tu, kamwe hautoacha.View attachment 455575
Ikitokea mauaj yamefanywa na mmarekani mwenzao basi report ni moja tu 'MENTAL ILL'[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si UGAIDI NI MENTAL ILL
Ana matatizo yake binafsi tu huyo muuaji.more psychological problemsMajasusi ndo wanapanga mauaji ya idadi hii ni ya kigaidi,ya idadi hii si ya kigaidi?
Nini kinatosha kusema mauaji haya si ya Kigaidi.Unawafyatulia watu risasi unawaua wengi tu,na ikiwa mauaj ya aina hiyo hiyo yakitokea Uturuki yangeitwa ya Kigaidi
Wengi huuanza na idadi ya ngapi???Siyo wengi ni watano na tisa majeruhi muuaji kakamatwa tayari
Ngoja nisubiri tweet ya "raisi wa twitter-donald trump"
Kwa sababu hakusema Allah akbar,hapo ndipo alipokosea.Si ya kigaidi kwa duru za awali za kijasusi za Marekani.
chuki inakuzidi jaribu matibabu yamagonjwa ya akili.Yani natamani hilo Taifa liangamie lote asibaki hata panya
Mauaji kwa kutumia silaha Marekani hayajaanza Leo wala Jana au eti baada ya kujulikana kwa Osama la hasha.Kwa sababu hakusema Allah akbar,hapo ndipo alipokosea.
Teh,acha waendelee kusomeshana namba za caliber .
Ndiyo biashara yao kubwa. ...sasa inawarudia. ...MOTHER EARTH kawatema milele yote. .View attachment 455533
Huyu ana matatizo ya kisaikolojia,ila angekuwa mwingine wangesema UGAIDI.
Wamarekani wahangaike kupunguza uuzaji wa silaha kiholela ndo unaowatesa huo