muxar
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,645
- 1,342
Weka picha
inaprove nini.?at least ungesema video.
Weka picha
Inasemakana toka kampeni zianze Lowasa ametukanwa kwenye majukwaa ya ccm mara 121 kama na hilo limetokea litakuwa la 122 ambalo litakuwa limetimiza wastani wa matusi zaidi ya 5 kila siku POLE SANA LOWASSA
CCM = Chama Cha Matusi
Hali hiyo ilijitokeza jana ambapo Makongoro Nyerere kuweka sera za CCM pembeni na kuanza kutoa kashfa kwa wagombea wa vyama vya siasa hususani Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa na mgombea Ubunge Benson Kigaila.
Makongoro utadhani mtoto wa mitaani hata hekima ndogo ya baba yake hana japo amekulia ikulu ni aibu sana kwa taifa la tz
Sijajua kwa nini tangu kampeni zimeanza jamaa kakomalia matusi na mipasho tu. Inanishangaza sana.? Sijui ni IQ ndogo au nini.? Kwani akipanda jukwaani akisema ccm itafanya 1 2 3 nk atapungukiwa nini.!?
Ni mtoto wa mitaani haswa ndio maana limeishia kuwa levi na kulelewa na mkewe..we mtu anazaa zaa hovyo na wauza gongo na ma house girl unamuona mzima huyo?
Waliomuweka kwenye timu ya kampeni ndio hawana busara kabisa.
Sasa kama hicho ndio kichwa kuliko wao hao wazee wa Lumumba ina maana Lumumba hakuna vichwa.Nazidi kumuelewa mzee Kingunge.
Huyu mtu kuna kitu inakula ubongo wake si kawaida hii.Bange+Gongo.