Dr.Mo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 3,809
- 1,655
Mtu mzima kama yule lazima ni stress zinamuandama.Nakuhakikishia watu wanamsaidia kule nyumbani.
Inaonesha kuishiwa seraYeye mwenyewe hajui CCM itafanya nini, maana miaka yote wamesema watafanya mengi saana lakini wametekeleza sifuri. Kwa hiyo anaona badala ya kuahidi ambayo tayali mengi walishayaahidi, anaona ni bora aje na jambo jipya ambalo ni matusi.