Habari wanajf,Kati ya matusi ya kingereza na Kiswahili ni yapi yanaumiza pindi unapotukanwa?
Je wewe unapenda kutumia matusi gani kati ya hayo apo juu?,tujuzane tafadhali.
Habari wanajf,Kati ya matusi ya kingereza na Kiswahili ni yapi yanaumiza pindi unapotukanwa?
Je wewe unapenda kutumia matusi gani kati ya hayo apo juu?,tujuzane tafadhali.
sawa tusi ni tusi lkn linakua zito zaidi pale unapotukanwa kiswahili tena nanduguzangu wenye lafudhi ya kisukuma yani tusi linakua bold linakua zito afu linaonekana kubwa unaeza anzisha vita kisa tusi kama ny***o ww