Viongozi wa CDM waliokuwa Singida wanatuhumiwa kutoa matusi kwenye mkutano wao. Naomba kama kuna video ya hayo matusi tuilinganishe na yale ya Lusinde ya Arumeru.
Mkuu CDM hawajatukana hata kidogo walisema ukweli kuwa Mwigulu ni Mpumbavu kwasababu anafanya uzinzi na mke wa kada mwenzake na hiyo ni kweli kwasababu alifumaniwa wakati wa kampeni za jimbo la Igunga
Viongozi wa CDM waliokuwa Singida wanatuhumiwa kutoa matusi kwenye mkutano wao. Naomba kama kuna video ya hayo matusi tuilinganishe na yale ya Lusinde ya Arumeru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.