Siku mbili zilizopita mtaani kwetu hasa katika sehemu ninayoishi yaani nilipopanga niliombwa msaada wa kufungua facebook account, dada kanifuata na kuniaambia tafadhali naomba unifungulie facebook account kwani mimi sifahamu!
Sikua na kipingamizi nikaifungua lakini katka harakati nilijikuta ninaingiza email yangu ili kuhakiki.
MAJANGA;
Baada ya siku mbili hizo yaani leo hii ya alhamis nikapokea ujumbe wa kashfa na matusi kutoka kwa bwana wa dada yule jamaa akidai, kwa nini nimechukua jukumu la kumfungulia demu wake facebook?
Katika kujitetea jamaa alizidi kuporomosha matusi juu yangu akizidi kusisitiza hakutaka demu wake awe na facebook hivyo kwa nini sikumuuliza kabla? nilijaribu kumuelewesha lakini wapi ilihali mimi simfahamu na wala sijui kama huyo dada alikatazwa kuwa na facebook.
Je kosa la nani?
Nisaidien mawazo.
Sikua na kipingamizi nikaifungua lakini katka harakati nilijikuta ninaingiza email yangu ili kuhakiki.
MAJANGA;
Baada ya siku mbili hizo yaani leo hii ya alhamis nikapokea ujumbe wa kashfa na matusi kutoka kwa bwana wa dada yule jamaa akidai, kwa nini nimechukua jukumu la kumfungulia demu wake facebook?
Katika kujitetea jamaa alizidi kuporomosha matusi juu yangu akizidi kusisitiza hakutaka demu wake awe na facebook hivyo kwa nini sikumuuliza kabla? nilijaribu kumuelewesha lakini wapi ilihali mimi simfahamu na wala sijui kama huyo dada alikatazwa kuwa na facebook.
Je kosa la nani?
Nisaidien mawazo.