Matunda ya shule za kata

Matunda ya shule za kata

Hmaster

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
346
Reaction score
86
download

download

download

download


download

download

download

download

download


download
 
kama kuna kitu ambacho wadau wake watakijutia milele ni shule za kata. wanafunzi wanaopitia shule hizi kwa kweli wana hali mbaya sana kielimu! na kwa hili namuunga mkono Mzindakaya kuwa shule hizi zitakuwa sumu kali sana kwa ccm manake watoto watapita pale na kuharibiwa muda wao bila ya kupata elimu ya aina yoyote ya maana
 
Back
Top Bottom