kama kuna kitu ambacho wadau wake watakijutia milele ni shule za kata. wanafunzi wanaopitia shule hizi kwa kweli wana hali mbaya sana kielimu! na kwa hili namuunga mkono Mzindakaya kuwa shule hizi zitakuwa sumu kali sana kwa ccm manake watoto watapita pale na kuharibiwa muda wao bila ya kupata elimu ya aina yoyote ya maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.