Matunda ya jukwaa hili

Matunda ya jukwaa hili

zlatanxns

Member
Joined
Jun 28, 2025
Posts
22
Reaction score
44
Ndugu zangu wapendwa,

Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwenu kwa sapoti na msaada wenu mkubwa mlionipa hadi kufanikisha kupata tenda ya Tigo YAS ya kubandika mabango. Ingawa tenda hiyo imeisha, imenifungulia njia na kuniongezea imani kubwa katika kazi zetu.

Naomba kuendelea kuwaombea ushirikiano wenu ili mkiwa na nafasi, kazi au tenda yoyote, msisite kunifikiria. Nipo tayari kushirikiana kwa uaminifu, weledi na bidii kubwa katika kazi yoyote nitakayopewa.

Msaada wenu ni wa thamani kubwa kwangu, na naamini kwa pamoja tunaweza kufanikisha mambo makubwa zaidi.

Asanteni sana kwa upendo na sapo
ti yenu.
 
Ndugu zangu wapendwa,

Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwenu kwa sapoti na msaada wenu mkubwa mlionipa hadi kufanikisha kupata tenda ya Tigo YAS ya kubandika mabango. Ingawa tenda hiyo imeisha, imenifungulia njia na kuniongezea imani kubwa katika kazi zetu.

Naomba kuendelea kuwaombea ushirikiano wenu ili mkiwa na nafasi, kazi au tenda yoyote, msisite kunifikiria. Nipo tayari kushirikiana kwa uaminifu, weledi na bidii kubwa katika kazi yoyote nitakayopewa.

Msaada wenu ni wa thamani kubwa kwangu, na naamini kwa pamoja tunaweza kufanikisha mambo makubwa zaidi.

Asanteni sana kwa upendo na sapo
ti yenu.
Hongera
 
Walipeni vijana hela zao. Mmewatembeza siku nzima bila posho ya chakula wala nauli halafu stahiki zao hamuwalipi. Hiyo ni zuluma kubwa sana mmefanya. Halafu hata aibu hauoni. Haya ni baadhi ya malalamiko ambayo nimekua nikitumiwa PM
IMG_20250818_145701.jpg
IMG_20250818_145613.jpg
 
Ndugu zangu wapendwa,

Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwenu kwa sapoti na msaada wenu mkubwa mlionipa hadi kufanikisha kupata tenda ya Tigo YAS ya kubandika mabango. Ingawa tenda hiyo imeisha, imenifungulia njia na kuniongezea imani kubwa katika kazi zetu.

Naomba kuendelea kuwaombea ushirikiano wenu ili mkiwa na nafasi, kazi au tenda yoyote, msisite kunifikiria. Nipo tayari kushirikiana kwa uaminifu, weledi na bidii kubwa katika kazi yoyote nitakayopewa.

Msaada wenu ni wa thamani kubwa kwangu, na naamini kwa pamoja tunaweza kufanikisha mambo makubwa zaidi.

Asanteni sana kwa upendo na sapo
ti yenu.
Ashukuliwe Kalaga Baho Nongwa
 
Mkuu ukipata mchongo mwingine unaohitaji watu nicheck namba yangu hii 068245636
 
Kila kazi inachangamoto zake kikubwa tusikate tamaa
 
View attachment 3445277
Hii ni zuluma mmewafanyia madogo
Kaka mimi sio mwajiri mim mwenyew nimmojawapo ambaye nilipata hio tenda , na pia sijapewa pesa zangu za mwisho ila na shukuru tu kwa kile nilicho kipata , ukifatilia post zangu za nyuma utaona nilikuwa naomba kazi mtu akaamua kunipa huo mchongo wa yas
 
Kaka mimi sio mwajiri mim mwenyew nimmojawapo ambaye nilipata hio tenda , na pia sijapewa pesa zangu za mwisho ila na shukuru tu kwa kile nilicho kipata , ukifatilia post zangu za nyuma utaona nilikuwa naomba kazi mtu akaamua kunipa huo mchongo
Sababu ya kujitetea haiwezi kukosekana. Kinachohitajika ni madogo kulipwa stahiki zao, sio maelezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom