Ndio. Kwa maelezo ya madogo, hao yas wanalipa kwa hawa supervisors(waliopewa tenda) . Kuna wanaosema hela ishatoka lakini hawa jamaa waliopewa tenda ndio wamewapiga madogo walioingia field kupiga kaziMbona umemkomalia mkuu? Huyu ndo inabidi awalipe eeh?
Kaka mbona unakuwa mgumu kuelewa wew si ndo ulienipatia namba , embu angalia mwenyew ,Sababu ya kujitetea haiwezi kukosekana. Kinachohitajika ni madogo kulipwa stahiki zao, sio maelezo.
Dah so kuna uwezekano na huyu alikuwa supervisor?Ndio. Kwa maelezo ya madogo, hao yas wanalipa kwa hawa supervisors(waliopewa tenda) . Kuna wanaosema hela ishatoka lakini hawa jamaa waliopewa tenda ndio wamewapiga madogo walioingia field kupiga kazi
Wewe ulikuwa supervisor au mbandikaji?Kaka mbona unakuwa mgumu kuelewa wew si ndo ulienipatia namba , embu angalia mwenyew ,
Mim mwenyew na shindwa kumwelewa vizuri , yeye ndo alienisaidia kupata hio mchongo , licha ya mim mwenyew kuzurumiwa pesa yangu ya siku Moja , kuandika Uzi huu Nia ya dhati ni kuomba nafasi nyingine ya kaziMbona umemkomalia mkuu? Huyu ndo inabidi awalipe eeh?
Mim nilikuwa mbandikaji , sio supervisor na pesa yangu ya siku Moja sijalipwa na hao watu nikiwapigia simu hawapokei , ila ofisi zao zipo sinzaWewe ulikuwa supervisor au mbandikaji?
Dah et Natafuta Ajira huyu mkuu hana alijualo naye pia kadhurumiwa au we una ushahidi gani kuwa yeye ndo mdhurumishi ilhali connection ulimpa yeye?Mim nilikuwa mbandikaji , sio supervisor na pesa yangu ya siku Moja sijalipwa na hao watu nikiwapigia simu hawapokei , ila ofisi zao zipo sinza
Kwenye post yake ametoa maelezo tofauti na alichokusudia kusemaDah et Natafuta Ajira huyu mkuu hana alijualo naye pia kadhurumiwa au we una ushahidi gani kuwa yeye ndo mdhurumishi ilhali connection ulimpa yeye?
Jifunze namna ya kujua kujielezea kwa usahihi. Utakuja kuhukumiwa kwa kosa ambalo haujalifanya.Mim nilikuwa mbandikaji , sio supervisor na pesa yangu ya siku Moja sijalipwa na hao watu nikiwapigia simu hawapokei , ila ofisi zao zipo sinza
🙏 Nashukuru kaka wew ndo ulinifanya nikapata hio nafasi , endelea kuwa na moyo huohuoJifunze namna ya kujua kujielezea kwa usahihi. Utakuja kuhukumiwa kwa kosa ambalo haujalifanya.
Hata hivyo, nashukuru sana pale jitihada zangu zinapofanikisha kumsaidia kijana mwenzangu. Wakati huu ambao bado unapambana usichague kazi
Ni vyema kuleta mrejesho ila ilitakiwa pia kuelezea pale juu kuwa hukumaliziwa Hela Yako,na ule Uzi sijui umefutwa? Siuoni🙏 Nashukuru kaka wew ndo ulinifanya nikapata hio nafasi , endelea kuwa na moyo huohuo