true movie
Member
- Sep 15, 2014
- 30
- 12
Kama kichwa cha habari kilivyo ..kwa sasa kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kutumia hii kitu ugoro, nina maswali kwa wanaJF.
1.nataka kufahamu madhara ya hii kitu maana nahisi vijana wanahangamia
2. Mbona serikali haipigi marufuku hii kitu na kukamata wamasai wote wanaofanya hii biashara coz asilimia 99 ni wao
3.je ni kweli masai wanachanganya na kinyesi kikavu cha binadamu katika kuleta stimu kali ya ugoro !
Naomba majibu ya maswali yangu maana midomo ya vijana sasa hivi meno ya chini yote yamebadilika rangi na mdomo wa chini unakua mrefu kushinda wa juu !!
Nawasilisha
1.nataka kufahamu madhara ya hii kitu maana nahisi vijana wanahangamia
2. Mbona serikali haipigi marufuku hii kitu na kukamata wamasai wote wanaofanya hii biashara coz asilimia 99 ni wao
3.je ni kweli masai wanachanganya na kinyesi kikavu cha binadamu katika kuleta stimu kali ya ugoro !
Naomba majibu ya maswali yangu maana midomo ya vijana sasa hivi meno ya chini yote yamebadilika rangi na mdomo wa chini unakua mrefu kushinda wa juu !!
Nawasilisha