Najua itakuwa ngumu kueleweka kwa urahisi kwa sababu baadhi ya makabila hayawezi kutenganisha kati ya R na L.
Hivyo naomba mwenye utalaamu mzuri wa kuelezea aweze kunisaidia kwa faida yangu na wenginewengi, huwa napata tabu sana kwenye hizi herufi.Asanteni
Hivyo naomba mwenye utalaamu mzuri wa kuelezea aweze kunisaidia kwa faida yangu na wenginewengi, huwa napata tabu sana kwenye hizi herufi.Asanteni