Matumizi ya Lowassa yanatisha!

Matumizi ya Lowassa yanatisha!

we kumbe ndio hujuwi.wako matajiri wakubwa watano ambao wamejipanga jamaa anaingia ikulu.akiwemo bakhresa.wanataka jamaa akiingia kuanzia gesi na kila kitu vinakuwa chini yao.wewe huoni urafiki wa Mengi na Rostam sasa hivi ulivyokolea? Ni kwa sababu wapo timu moja.mzee Mengi mnafiki sana.anajifanya ana uchungu na watanzania lakini mlango wa nyuma anawazunguka na kuwauza.

Anawazungukaje sasa kama.sio uelewa mdogo, hahahaha, kwanza una uhakika na unachokiongea?
 
Tatizo ni fikra za kimaskini. Hizo ni rumours tuu kwani hazina evidence. But be it true as it is, tatizo liko wapi? Ebu fanya tafiti,tuambie presidential campaigns za hata hapo jirani zetu Kenya ni kiasi gani.

Raila Odinga in 2013 alitumia $85 million. Uhuru Kenya almost twice as that.

Lazima ujue sasa hivi campaigns ziko tofauti sana kutokana na jamii kubadilika.

Angalia campaigns za Hilary Clinton zivyotumia hela nyingi. Rwanda hapo Kagame ametumia hela nyingi kwenye the last general elections.

Wake up and be sober!!

Ujinga wako ndo umaskini wako.....umekaa chini unaandika yasiokua na akili...sasa unaanzisha vita na matajir ambao sidhan kama unawapata hata kwa theluthi ya pesa zao.....hebu kabla hujaandika na kupost kwanza fikiria...
 
Wewe kama humtaki lowasa unahangaika na nin? si usubiri uchaguzi uje kupiga kura unakotaka? acha ushabiki maandazi wewe...coz umesikia kila mtu lowasa ndo hata wewe uone una uhuru wa kuropoka

Na kama Lowassa anatakiwa na watanzania kwanini anahangaika kutumia magharama yote hayo na kununua publicity ili kutuconfuse akili zetu?

Tunahamasisha watu wajue adui yao na wazifaham hadaa zenu
 
we kumbe ndio hujuwi.wako matajiri wakubwa watano ambao wamejipanga jamaa anaingia ikulu.akiwemo bakhresa.wanataka jamaa akiingia kuanzia gesi na kila kitu vinakuwa chini yao.wewe huoni urafiki wa Mengi na Rostam sasa hivi ulivyokolea? Ni kwa sababu wapo timu moja.mzee Mengi mnafiki sana.anajifanya ana uchungu na watanzania lakini mlango wa nyuma anawazunguka na kuwauza.

kwa hiyo hii nchi hivi sasa ukiwa tajiri basi wewe ni fisadi?!

Endeleeni hivyo hivyo kukumbatia umaskini mkiona ni sifa!
 
Back
Top Bottom