Matumizi ya Kondomu ktk uzazi wa mpango

WENYELE

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,415
1,379
Ndg wana JF Habari za leo.
Napenda niende moja kwa moja kwenye maada.

Nimeoa na ni baba wa mtoto mmoja,mke wangu ni miongoni wa wanawake wenye mzunguko mrefu sana wa hedhi (30-35).

Katika kutumia mfumo wa jadi wa kalenda katika uzazi wa mpango inakua ngumu sana sababu siku zake hazitabiriki,halafu pia spendi kutumia vidonge au madawa ya uzazi wa mpango sababu yanaharibu sana wanawake wengi mifumo yao ya homoni.

Kukabiliana na tatizo hili na kuzuia kupata mimba isiyotarajiwa tumekua tukitumia kalenda na siku zote za hatari na buffer tunatumia Kondomu.

Njia hii imetusaidia sana coz tunaelekea mwaka wa pili (ambapo mtoto atatimiza umri wa kuacha kunyonya kwa mama yake) bila tatizo.Lakini changamoto inayotukumba ni sensitivity ya miili on condom's brand.

Tunatumia sana rough rider brand lakini wakati mwingine km hazipo tunachanganya na brand zingine,ikitokea hivi wife hutoka mapele.

Je,Condom ziko associated na kusababisha matatizo mengine ya kiafya kama Kansa ikitumika sana?

Asanteni
 
Ni bora uteme nje kuliko kumsugua mkeo na kondom.
Hii mipira sinaga imani nayo ila naitumia wakati wa mbio za mwenge tu.
 
Daaaaaah mi bora uniache kuliko kutumia hayo makitu

Si ujitahidi uteme nje?
 
Daaaaaah mi bora uniache kuliko kutumia hayo makitu

Si ujitahidi uteme nje?
Sio kazi nyepesi ujue,wakati mwingine unataka kutema nje then mtoto wa kike utamu ndo unamkolea anakukumbatia barabara na kukuzuia usiteme nje. Akimaliza anajuuuta hata haelewi ilikuaje hadi akafanya vile.

Katoto kana miezi sita,mimba imeingia!
 
condom ni salama kwa 100% kwenye kuzuia Mimba, so endelea kutumia boss
 
Hata hedhi iwe sio normal ktk mzunguko/irregula vp haiwezi kufanya ushindwe kujua fertility zone, infertility zone na danger zone!

Fanya hivi hata mzunguko uanze au kuisha ndani ya siku 25 au 35 wewe stick on the end of period usikariri siku wala tarehe ulizozoea pale pale unapoona hedhi record na unaweza kujua siku salama na hatari na kama inakuwa ngumu download menstral calendar alafu utaingiza taarifa zako kama ni regular circle au not itakuwa inakuonyesha kila kitu.

Kondom itumike pale kwenye dharura tu na sio kila mara na kama unafanyaga kwenye infertility/safe zone/days basi ikifika fertility zone/danger days PUMZIKENI sio lazima MTO.MBANE kila siku jamani.
 
Hata hedhi iwe sio normal ktk mzunguko/irregula vp haiwezi kufanya ushindwe kujua fertility zone, infertility zone na danger zone!

Fanya hivi hata mzunguko uanze au kuisha ndani ya siku 25 au 35 wewe stick on the end of period usikariri siku wala tarehe ulizozoea pale pale unapoona hedhi record na unaweza kujua siku salama na hatari na kama inakuwa ngumu download menstral calendar alafu utaingiza taarifa zako kama ni regular circle au not itakuwa inakuonyesha kila kitu.

Kondom itumike pale kwenye dharura tu na sio kila mara na kama unafanyaga kwenye infertility/safe zone/days basi ikifika fertility zone/danger days PUMZIKENI sio lazima MTO.MBANE kila siku jamani.
Asante mkuu kwa ushauri; tunatumia kondomu kwenye buffer danger day zones na danger zones tu. Baada ya hapo mechi huchezwa bila viatu haijalishi kuna mbigili,kokoto au miiba...magoli hufungwa tu.
 
Sio kazi nyepesi ujue,wakati mwingine unataka kutema nje then mtoto wa kike utamu ndo unamkolea anakukumbatia barabara na kukuzuia usiteme nje. Akimaliza anajuuuta hata haelewi ilikuaje hadi akafanya vile.

Katoto kana miezi sita,mimba imeingia!

Anawahi p2 chap
 
Back
Top Bottom