Matumizi ya condom na changamoto zake

Matumizi ya condom na changamoto zake

Nimeacha kutumia kondomu ni baada ya kugundua wanawake wengi huwa wanakuzalau wanakuchukulia kama lena,.
Nimegundua njia mbadala ya kutumia antibiotic ili tu kujilinda na magonjwa madogomadogo, maana nimejifunza kuwa hauwezi kuuzuia UKIMWI kwa kondom
utafiti wa bangi kabisa hauwezi kuuzuia Kwa condom kiaje wewe na wataalam waliotengeneza nani zwazwa?
 
Yaani wewe hadi leo bado unatumia tu Condom una roho ngumu siku hizi watu wanatumia tu mafuta ya KY unapaka kwenye UUME na kwenye UKE kuepusha michubuko unakula nyama yako vizuri kabisa
matumizi mabovu ya pesa
 
Tumieni kondomu nyie acheni kudanganyana..pia kuna condom lubricants pale ukavu unapozidi..paka then teleza tu..mfano durex play
 
Yani wengine tulitumia condoms lkn ile kusikia tu hata romance inaweza kukuambukiza inasababisha tuishi kwa hofu balaah, na hapo huyo demu umemuliza kama amewahi kupima ?kajib ndio na ilikuwa miez 7 imepita nipo vzr. Lkn huku kuna watu wanahimiza SEX bila kinga ?..... Mimi nikisex bila kinga hofu yake huisha baada ya miaka 8 .[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mimi nikisex bila kinga hofu yake huisha baada ya miaka 8 .
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
Bora we miaka 8, wengine inangangania kabsa kufanya makao. Yan Hofu inakua tena ni ulinzi kwako usifanye uzinzi.
 
lainisha papuchi mpaka ilowe tembe tembe na usikamie mechi hapo mzee unaweza ukatoboa salama
 
tulia na demu mmoja huyo huyo demu anamshikaji mwingine wewe hujui na mshikaji anamademu watatu harafu demu wako hajui hapo kama ni kavu kavu mmoja kwenye hiyo cheni akiwa na miundo mbinu ya gridi anawaunga.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ishu sio kuwa na demu mmoja, ishu ni kuwa na demu ulemtrack na ukajua sio malaya. Maana aweza kuwa mmoja ila kicheche kama CapuccinoTunda😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja aingie kwenye 18 za hiyo kitu aone kama hao anaotafuta heshima kwao watamsindikiza kitengo kujaza luku.
We ngoja..

Mi Prof kuna life style nimeshachagua mda nasiibadilishi maadam najua nakoeleekea..

Sasa humu tunajazana ujasiri wakati hatuangaliii side-effects upande wa pili.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ishu sio kuwa na demu mmoja, ishu ni kuwa na demu ulemtrack na ukajua sio malaya. Maana aweza kuwa mmoja ila kicheche kama CapuccinoTunda[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu vicheche kama huyo uliyemtaja huwa hawanasi na huwa wanakuwa makini na kile wanachokifanya mziki huwa unakuja kwa hao uliowaamini kwa asilimia mia ume wa track na umejilizisha sio malaya utakuwa naye siku mkienda kucheki mnakuta imo watu huwa wanawehuka ndani ya chumba cha daktari haieleweki nani kamleta mgeni ndani.

Tumwombe Mungu tu kitu imekaa pabaya.
 
Back
Top Bottom