Petrol Tank
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 205
- 372
Nimekuwa sio mtumiaji sana wa hii mipira lakin ninapo itumia nateseka sana bao la kwanza angalau linaenda vizur japo kwa muda na ukavu kidogo ni changamoto.
Ila kwa mimi bao la pili mwanamke anakuwa amekauka sana na wakati mwingine nashindwa kulimaliza na hii imeshanitokea kwa zaidi ya mwanamke mmoja.
Wadau huwa mnafanyaje kwenye hii changamoto? Mana unaweza tamani uuze mechi
Ila kwa mimi bao la pili mwanamke anakuwa amekauka sana na wakati mwingine nashindwa kulimaliza na hii imeshanitokea kwa zaidi ya mwanamke mmoja.
Wadau huwa mnafanyaje kwenye hii changamoto? Mana unaweza tamani uuze mechi