Matumizi ya condom na changamoto zake

Matumizi ya condom na changamoto zake

Yaani wewe hadi leo bado unatumia tu Condom una roho ngumu siku hizi watu wanatumia tu mafuta ya KY unapaka kwenye UUME na kwenye UKE kuepusha michubuko unakula nyama yako vizuri kabisa
Kwahiyo hapo anayejikinga ni mwanaume. Na mwanamke je? Maana mwanamke lazima amiminiwe supu
 
Nimeacha kutumia kondomu ni baada ya kugundua wanawake wengi huwa wanakuzalau wanakuchukulia kama lena,.
Nimegundua njia mbadala ya kutumia antibiotic ili tu kujilinda na magonjwa madogomadogo, maana nimejifunza kuwa hauwezi kuuzuia UKIMWI kwa kondom
Dah!...🤔🤔🤔 Kuna raia mnajiamini Sana.Afya ni muhimu mkuu kuliko dharau za kupita.
 
Nimekuwa sio mtumiaji sana wa hii mipira lakin ninapo itumia nateseka sana bao la kwanza angalau linaenda vizur japo kwa mda na ukavu kidgo ni changamoto
Ila kwa mm bao la pili mwanamke anakuwa amekauka sana na wakat mwingine nashindwa kulimaliza na hii imesha nitokea kwa zaid ya mwanamke mmoja. Wadau huwa mnafanyaje kwenye hii changamoto? Mana unaweza tamani uuze mechiView attachment 1191767
Achana na kondomu za rejareja za bei rahisi kama hizo ulizo post na nyingne za jero jero hizo ni za kugawiwa bure, starehe yako mwenyewe kwanini ujibane bane ? kwanini ujitie risk ya kupasukiwa na ndom katikati ya mchezo? tumia kitu rough rider kitu cha buku tatu miatano hakina kelele, ni sawa na kwenye gari yako uvae tairi la elfu 90 wakati kuna tairi za laki na nusu laki mbili. Usalama ni wako mwenyewe faza.
 
Nimeacha kutumia kondomu ni baada ya kugundua wanawake wengi huwa wanakuzalau wanakuchukulia kama lena,.
Nimegundua njia mbadala ya kutumia antibiotic ili tu kujilinda na magonjwa madogomadogo, maana nimejifunza kuwa hauwezi kuuzuia UKIMWI kwa kondom
Acha kuongopea watu bila condom maisha yangekuaje
 
Baharia gani unakuwa muoga muoga tembeza rungu wewe.Kufa kupo tu

Usipokufa kwa ngoma, utakufa hata kwa ajali ya bodaboda.

Ngoma ma bro wetu wazungu wameipunguzia makali, Sasa hivi unakula karanga zako huku ukiendelea kuchapa rungu.
Kauli za kishujaa !!, Sawa Mjomba.
 
Aisee kuna vidume vinajitoa muhanga humu sio mchezo...kut...om ba demu bila kondom ni zaidi ya ugaidi










Mungu Ibariki Tanzania[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Morogoro
 
Kavu ndio nafeel poa nikipiga na ndom na dem nikampa hela nahisi nakuwa nimeibiwa... condom zilinishinda hazina ladha na sipo kwenye grid ya taifa
Najihisi sawa na mtoto alievishwa Nepu, mikojo yangu yote nabakinayo mwenyewe, sijui nitakumbukwa kwa lipi!?
 
Back
Top Bottom