Hapa sasa umeongea kitu cha maana mno. Tena uwaeleweshe vizuri waelewe.
 
kunywa kwan Maji afu relaaaaaax
Utapasuka bureeeee. Woiiiiiiih
 
Watu wote wasome hii comment kwa umakini na utulivu huenda kina kitu watapata. Na watajua namna ya kutatua tatizo.
 
Dark trick niggers siku hizi hawatoi kafara ndugu zao wala watoto wao

Siku hizi wanadili na hawa mchicha mwiba.

Wanapewa masharti ya kuwafukuq mitaro wapate mvuto na utajiri


Mashoga beware mko hatarini kutoweka

The hunt is real
 
Huna hata hoja hapa.
 
Sasa wee ulitaka adate na kila mtu khaaah, naye ana hisia za kuchagua anaye mpenda.
 
Hivi naomba kujuzwa Ushoga unaigwa vipi na watoto? Yaan hebu nieleze.
 
Kosa lao ni ku "PROMOTE";, wanatamani dunia nzima ifanane na wao, kama ni maisha yao ya binafsi wafanye iwe binafsi na si kutaka dunia nzima iwe kama wao
Sasa huyu Emmanuel ali promote vipi hapa kulingana na tukio?
 
nyie watu mna vituko sanaaa lol
 
Nawachukia sana mashoga lakin hiki kilichofanyika ni beyond na sio kizuri wala si uungwana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…