Umejuaje? mikoa ya pwani yote inawakazi wasiopungua milion 20 tena makabila tofauti tofaut na dini tofaut tofaut we umetumia kgezo gani kusema wapo weng? na je bara ambao kuna wakaz zaid ya milion 40+ hakuna mashoga?
Umejuaje? mikoa ya pwani yote inawakazi wasiopungua milion 20 tena makabila tofauti tofaut na dini tofaut tofaut we umetumia kgezo gani kusema wapo weng? na je bara ambao kuna wakaz zaid ya milion 40+ hakuna mashoga?