Haya sasa kwa andiko hili, mtu anapata wapi nguvu ya kuhukumu mwingne? Muwage mnasoma hizo bible vizuri na kuelewa.1 Wakorintho 6:9
[9]Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
Sijawahi enda bar na vyoo vyake. Ningewahi kwenda ningetoa jibu.Wewe umekutana nao?
Mashetani ni viongozi wenu wanaharibu nchi zenu kiuchumi na kijamii Kwa kuiba , kufisilisi , kuua raia , kuharibu chaguzi na kuwatawala nyie wapuuzi na vizazi vyenu vya kifukara kama watumwaHawa watu ni wa kuangamiza kabisa hata miili yao isionekane....ni laana kwenye jamii na taifa kwa ujumla.......ni laana kujishikimanisha na watu wa aina hiyo hayo ni MASHETANI wenye sura ya mwanadamu.....hao sio wanadamu wenzetu......ni kwa sababu tu watu tunaogopa mikono ya sheria lakini vinginevyo.....
Hata kama nimepanda gari nikigundua nimepanda na mtu aina hiyo au mwenye viashiria vya aina hiyo nashuka hata kama ni porini....ni kheri niliwe na Simba kuliko kuambatana na watu hao......
DISGUSTING CREATURES......
Kama sio natural phenomenon kwa nini wanazaliwa na kuzaliwa tena katika jamii zote zote miaka yote???!!!Ushoga ni kinyume cha nature ...ukiachwa human civilization inaweza kucolapse.
Hakuna scientific evidence iliyowahi kuprove Kuwa ushoga Ni 'natural phenomenon '
Bora umekuja Kunguru wa Manzese, jamaa anafananisha kunguru na vitu vya ovyo,Mkuu kunguru anahusika vipi hapa tumewakosea nini haujaona mfano mwengine
Kwani kuna aliyekulazimisha kuwa shoga , au unahamu ya kuwa shoga , msipangie watu jinsi ya kuishi , you have no authority ya kumpangia mwingine jinsi ya kutumia mwili wake , somebody can be A lesbian A gay A bisexul A Transgender A Qui , who the *** are we to gudge somebody ?Kosa lao ni ku "PROMOTE";, wanatamani dunia nzima ifanane na wao, kama ni maisha yao ya binafsi wafanye iwe binafsi na si kutaka dunia nzima iwe kama wao
Hawahawa wanafiki ndio kila siku wanapractice sodomy aka kuingilia wanawake wao na vimada wao kinyume na maumbile threads kibao wanatia humu kucondone hivyo vitendo , wengine ndio hao hao wanunuzi wakubwa WA machangudoa wakiume kwenye Facebook , telegram , Instagram , WhatsApp NK , wapo kila mahala , hawa hawa ndio wanaowabaka watoto wao na watoto wengine kinyume na maumbile na kuinduce hiyo sense ya ugay Ila wakiwa humu ni kuandika kimihemko Tu , kumbe mafala flani hiviNa ukiona mtu anapinga ushoga kwa nguvu zote, huyo ni bisexual, tena wengi wao ni wale ambao wameshawahi kudate na mashoga ila wanajutia, au wale waliokataliwa na mashoga yaan wanakua bitter mnoo. Lol
Hawahawa wanafiki ndio kila siku wanapractice sodomy aka kuingilia wanawake wao na vimada wao kinyume na maumbile threads kibao wanatoa humu kucondone hivyo vitendo , wengine ndio hao hao wanunuzi wakubwa WA machangudoa wakiume kwenye Facebook , telegram , Instagram , WhatsApp NK , wapo kila mahala , hawa hawa ndio wanaowabaka watoto wao na watoto wengine kinyume na maumbile na kuinduce hiyo sense ya ugay Ila wakiwa humu ni kuandika kimihemko Tu , kumbe mafala flani hiviNa ukiona mtu anapinga ushoga kwa nguvu zote, huyo ni bisexual, tena wengi wao ni wale ambao wameshawahi kudate na mashoga ila wanajutia, au wale waliokataliwa na mashoga yaan wanakua bitter mnoo. Lol
Kwahiyo umeruhusiwa??Ni Nani aliyekwambia Tz hairuhusu ushoga ? Au imeandikwa wapi ?
Kwani wizi Ni natural phenomena?? Mbona Kila siku wezi wanazaliwaKama sio natural phenomenon kwa nini wanazaliwa na kuzaliwa tena katika jamii zote zote miaka yote???!!!
Kamuulize Rais wakoKwahiyo umeruhusiwa??
Hao mawaziri , viongozi wakubwa WA kiserikali mpaka kidini ndio hao hao wafiraji wakubwa na wanunuzi WA mashoga , kanisa katoliki mfano na mapadre wake wabakaji kinyume na maumbile watoto watoto Kwa miaka mingi na hata Pope mwenyewe anajua , Kwa waislamu hao mashehe nao wanafiki Tu hizi hapa kuna sheikh sijui ustadh kabaka watoto kinyume na maumbile tena msikitini , watoto WA madrasa mpaka kwenye vyombo vya habari na mitandao mtakuwa mmeona na inaonekana ndio Tabia yake .Kila MTU analaani ushoga. Hua Najiuliza ni kina Nani huwa wanatoka na mashoga?
Hao mawaziri , viongozi wakubwa WA kiserikali mpaka kidini ndio hao hao wafiraji wakubwa na wanunuzi WA mashoga , kanisa katoliki mfano na mapadre wake wabakaji kinyume na maumbile watoto watoto Kwa miaka mingi na hata Pope mwenyewe anajua , Kwa waislamu hao mashehe nao wanafiki Tu hizi hapa kuna sheikh sijui ustadh kabaka watoto kinyume na maumbile tena msikitini , watoto WA madrasa mpaka kwenye vyombo vya habari na mitandao mtakuwa mmeona na inaonekana ndio Tabia yake .Kila MTU analaani ushoga. Hua Najiuliza ni kina Nani huwa wanatoka na mashoga?
Sana binadamu ni kiumbe mnafiki na mbinafsi SanaBinadamu ni watu wabaya sana , wanapenda sana kijihesabia haki , mfano hao walio muua huyo Shoga utakuta Ni wezi, wazinzi nk.lakini wameona kibanzi Cha mwenzao na kuamua kukitoa huku wakiacha maboliti ndani ya macho yao.
Hakuna mwema dunia, hukumu haiko kwa mashoga tu, biblia inasema hata kumtazama mwanamke na kumtamani nayo Ni dhambi, je tuanze kuuwa watu wote wanaotamani wanawake?
Huu Ni upuuzi mkubwa sana.
Endelea kuficha ushenzi wako ukitokea hadharani kitakukuta kitu,Kamuulize Rais wako