Matukio ya kukumbukwa mwaka 2014

Matukio ya kukumbukwa mwaka 2014

HARUFU

Platinum Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
31,704
Reaction score
48,143
Naomba tujikumbushe matukio yaliotokea na yanayoendelea kutokea ndani ya mwaka huu ambayo yameleta gumzo kubwa sana.

Nakaribisha matukio yote iwe michezo, siasa n.k. Iwe ndani ya nchi, nje ya nchi au kifupi naweza sema Ulimwenguni.

Mimi nitaanza na machache na wandugu wengine mtaendelea.

1.Miss Tanzania kuvuliwa taji

2.Msichana wa kazi(Uganda)

3.Escrow
 
Yule kauzu kesi ya Richmond alikuwepo na hii ya Escrow pia yumo
 
1~vikao vya bunge hadi saa tano usiku
2~ccm kutetea wezi wa eskiro
 
Me mwenywe nashkuru kwa kupata kazi i wont 4get the year of 2014
 
Mimi namshukuru mungu niko abroad nafanya masters.. sutausahau huu mwaka kwenye maisha yangu
 
Mahakama Kumkataza Davido kupanda jukwaa la Fiesta na Akapanda, Mahakama kuzuia Mjadala wa Escrow bungeni na bunge kuendelea kujadili
 
nashukuru Mungu nasomea ka Phd kangu aahahahaha joking
 
Back
Top Bottom