Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Huyu mzee nae ajipumzikie tu,sijui anahangaika na nini sa hivi kuhangaika majukwaani wakati watu wamepagawa.serikali inafanya kazi na wahuni anategemea nini
Duh! Ina maana hakukuwa na ulinzi? Kama ndivyo basi tutasikia siku moja wameuana...
Huyu mzee nae ajipumzikie tu,sijui anahangaika na nini sa hivi kuhangaika majukwaani wakati watu wamepagawa.serikali inafanya kazi na wahuni anategemea nini
Huyu mzee nae ajipumzikie tu
Wote hao walioshika mabango wana maisha magumu, pili hawajui ugumu wa maisha yao umesababishwa na CCM, ukiwa kijana na ukajiunga na CCM huwezi kujenga hoja mbele ya watu bila kuvuta ugoro au bangi,au unga coz chama ni kichafu lakini wanalazimisha kukisafisha