Matukio na habari za kampeni leo Arumeru east

Matukio na habari za kampeni leo Arumeru east

shykwanza

Senior Member
Joined
Nov 28, 2011
Posts
156
Reaction score
30
Wana JF mliopande za Arumeru east leo tafadhali tupieni hapa matukio na habari za kampeni zilizojiri leo hii huko Arumeru. Tujuzeni leo CCM na Sioi wao wanashambulia pande zipi na Chadema na Nasari wao wanashambulia pande zipi; na vipi kuhusu hali ya hewa ya Kambi za vyama hivyo hapa USA river pamoja na mashabiki wao.
 
edson and ur team plz 2juzen yanayoendelea arumeru east
 
mimi ninachojua waendesha boda boda wanaenda kwenye mikutano ya chadema bure lakini kwa ccm lazima walipwe elfu ishirini.
aibu ni pale TLP walipokuwa wanawabembeleza wana bodaboda kwa elfu tano tano.mpaka naondoka jamaa wamegoma.
 
Akili za mwanaasha, si ungempigia simu huyo edson ndo ulete hiyo habari kamili hapa???!!

8*8-64=???
 
Wana JF mliopande za Arumeru east leo tafadhali tupieni hapa matukio na habari za kampeni zilizojiri leo hii huko Arumeru. Tujuzeni leo CCM na Sioi wao wanashambulia pande zipi na Chadema na Nasari wao wanashambulia pande zipi; na vipi kuhusu hali ya hewa ya Kambi za vyama hivyo hapa USA river pamoja na mashabiki wao.

Jana ulikuwa unaripotia kutoka Arumeru. Leo unataka aliyepo Arumeru akujuze. Tukuweke upande gani?
 
Wana JF mliopande za Arumeru east leo tafadhali tupieni hapa matukio na habari za kampeni zilizojiri leo hii huko Arumeru. Tujuzeni leo CCM na Sioi wao wanashambulia pande zipi na Chadema na Nasari wao wanashambulia pande zipi; na vipi kuhusu hali ya hewa ya Kambi za vyama hivyo hapa USA river pamoja na mashabiki wao.
jana ulishidwa kuripoti ukawa unaleta ***** watu ni wengi malaki<bora ungegeuza ziwe pesa> leo unataka nani aukletee habari ...peleka magamba yako uko
 
Jana ulikuwa unaripotia kutoka Arumeru. Leo unataka aliyepo Arumeru akujuze. Tukuweke upande gani?
mkuu tumewaza sawa within a min jamaa aeleweki kabisa jana kaenda kula ubwabwa leo kashatimka.....
 
mkuu tumewaza sawa within a min jamaa aeleweki kabisa jana kaenda kula ubwabwa leo kashatimka.....

Alipomwona Mkuu wa Maubwabwa kapanda ndege na yeye kasepa zake! wenye njaa ndiyo wanaotucheleweshea uhuru wetu!
 
Ripoti ambayo Mimi nimeipata hivi karibuni ni kwamba:-

i) Mkutano wa leo wa CCM umedoda.
ii) Mwigulu Nchemba aparamia Mke wa Mtu.
iii) CCM yapanga mkakati wa kumwagia Tindikali kada wake.
iv) Nape azuiliwa na EL kutia timu Arumeru.
 
Matukio mengine haya hapa nilikuwa siamini hadi nilipo prove mwenyewe.

attachment.php
 
Duh! Mwigulu tena na mke wa mtu? Jamani acheni utani, kama ni kweli basi huyu jamaa ana pepo la kupenda wake za watu. Lakini akumbuke mke wa mtu ni sumu atakuja fanyiwa kitu kibaya sana na hatokisahau maishani mwake!
 
Wana JF mliopande za Arumeru east leo tafadhali tupieni hapa matukio na habari za kampeni zilizojiri leo hii huko Arumeru. Tujuzeni leo CCM na Sioi wao wanashambulia pande zipi na Chadema na Nasari wao wanashambulia pande zipi; na vipi kuhusu hali ya hewa ya Kambi za vyama hivyo hapa USA river pamoja na mashabiki wao.
Mkuu nafikiri kuna tatizo, unasema walio Arumeru then unasema hapa USA river unatuchanganya, ni sawa na jana ulivyokuwa unasema watu malaki kwa malaki wanaelekea uwanjani lakini mkutano ulipoanza ukapotea.
 
Jana ulikuwa unaripotia kutoka Arumeru. Leo unataka aliyepo Arumeru akujuze. Tukuweke upande gani?

huyu yupo eneo moja linaitwa uporoto kule mbeya wanalima sana viazi ndio katoka shamba anataka news, naye ni great thinker, kazi kweli kweli!!
 
Hivi huyu Binti jamani kama alikuwa STAGE moja na Mwigulu Nchemba alipona kweli? Kama ni mke wa mtu, jamaa ajiangalie saana maana Nchemba atatembeza ubabe wake sasa hivi. Akishaona Mke wa Kada wa CCM, basi kada lazima anyanyaswe kwa kuonyeshwa "WHO'S THE BOSS HERE."

Go Mwigulu goo.........!!!!! CCM OYEEEEE!!!!

attachment.php


Kifaa chake cha kulia kipo poa sana hihihiiiiii................
 
Wana JF mliopande za Arumeru east leo tafadhali tupieni hapa matukio na habari za kampeni zilizojiri leo hii huko Arumeru. Tujuzeni leo CCM na Sioi wao wanashambulia pande zipi na Chadema na Nasari wao wanashambulia pande zipi; na vipi kuhusu hali ya hewa ya Kambi za vyama hivyo hapa USA river pamoja na mashabiki wao.
kwani wewe huwezi kutuwekea.....
 
Back
Top Bottom