Gut
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 2,852
- 3,404
Haina kwere arifu.Machalii wa Ar wanakuambia tunapiga doo na kura hatuwapi babaetu
Ni yechu yechu
Haina kwere arifu.Machalii wa Ar wanakuambia tunapiga doo na kura hatuwapi babaetu
Ni yechu yechu
Ukweli Pikipiki wamechukua ila Nina hakika zimepotea Bure. Arusha ni tofauti mno. Wanajiamini na Maendeleo yao yamekuwa juu wakiwa na upinzani. Yaani pole sana chama changu CCM.
Usihofu , kwa Arusha hata ccm imsimamishe Mungu wao itaangukia pua tu .
Wakazi wa Arusha wanajitambua huwezi kuwahonga chochote eti ndiyo waipige chini CHADEMA na kuwachagua MACCM. Arusha hakuna Mamburula.
Watatumia gharama kubwa mno hapo Ila wasubiri uchaguzWaziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewakabidhi vijana 200 pikipiki mpya kila mmoja bure mkoani Arusha katika mradi uliobuniwa na Mkuu wa Mkoa huo, Mrisho Gambo.
Unajua hawa ccm ukiwa bwege utakuwa bwege milele , lakini ukiwa mjanja watakulamba hadi miguu , mwenye akili amenielewa .
Hayupo Mbunge wa ccm mwenye kuthubutu kutetea haki za raia kwa mazingira magumu namna ile, hao wamejawa unafiki wa kutupwambunge wetu mabula alisema jana atutaondolewa yupo tayari kuandamana na sisi na kupigwa mabomu na sisi paka usiku huu sijui yupo wapi
hayo maeneo yaliyotengwa watamuuzia nani vitu vyao?Kuichagua ccm isiwe tiketi ya kufanya chochote bila taratibu
Za kisheria hata rais aliwaambia
Machinga wakae na viongozi wa
Jiji wakubaliane ndani ya miezi 3
Na maeneo waliyotengewa yapo
Kabisa ila kwa kuwa mmegeuza
Kila jambo ni siasa shauri yenu
Sisi wengine hayatuhusu tumewachoka
Hizo pikipiki amechangisha wafanyabiashara wakubwa mimi kuna jamaa yangu broker wa mawe katoa pikipiki 5 kwahiyo sio hela ya serikaliArusha wanajitambua sana hizo pikipiki bora hizo pesa wangeenda kununua dawa kwenye hospital ya Mount Meru au kulipa walimu madai yao
Mbona watajuta na kujilaumu! hata wakiitisha uchaguzi kesho Arusha hawapati hata diwani mmoja.Watahangaika lakini Arusha watu wana akili timamu.Unagawa pikipiki??
Bukoba vipi hawastahili kifuta machozi hata kwa hela tulizochanga? Wa Arusha mapikipiki kibao, kwa nini wasingeyapeleka kuwafuta machozi wahanga tu. Kaya 200 zilizoathiriwa na tetemeko zingepata pikipika za kukodisha na kujikimu. Poleni BukobaRais ni wa Watanzania wote waliomchagua na wasiomchagua hivyo hata kesho wakigawa Moshi siyo mbaya wanastahili.
Mkuu sehemu mbili ccm isahamu kupata ushindi Arusha na Pemba.Kweli CCM inaongozwa na wahuni!
Tumegundua janja yenu ya kuendelea kumzuia Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Lema! Hizi ni kampeni za kihuni!
Hofu yenu nini hada mpaka mnazuia Mbunge kwa kumunyima dhamana ili kuja kufanya Kampeni za kihuni kama hizi?