1. kuuawa kwa baadhi ya watanzania wakitimiza haki yao ya msingi ya kuandamana.
2. Kuumizwa na kuuawa kwa waandishi wa habari.
3. Migogoro ya kidini ambayo kwa kiasi kikubwa imelelewa na watawala na chama kilichoko madarakani.
4. Kushindwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama kutenda kwa haki na kwa weledi badala yake kutumika kuhujumu demokrasia na sauti zinazodai haki.
5. Kuporwa kwa raslimali za Taifa mchana kweupee, huku vyombo vya dora vikiwepo.
6. Kukithiri kwa rushwa na ufisadi serikalini.
7. Hujuma dhidi ya vyama vya upinzani vinavyoonekana kuwa tishio kwa watawala lakini vyenye kutia matumaini kwa wanyonge na maskini.
8. Tatizo kubwa la ajira hususani kwa vijana.
9. Kushuka kwa elimu ya Tanzania.
Kwa mtazamo wangu; haya na mengine ni chachu kubwa ya kuzaliwa kwa Tanzania ambayo wanyonge na maskini wanaitaka.
2. Kuumizwa na kuuawa kwa waandishi wa habari.
3. Migogoro ya kidini ambayo kwa kiasi kikubwa imelelewa na watawala na chama kilichoko madarakani.
4. Kushindwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama kutenda kwa haki na kwa weledi badala yake kutumika kuhujumu demokrasia na sauti zinazodai haki.
5. Kuporwa kwa raslimali za Taifa mchana kweupee, huku vyombo vya dora vikiwepo.
6. Kukithiri kwa rushwa na ufisadi serikalini.
7. Hujuma dhidi ya vyama vya upinzani vinavyoonekana kuwa tishio kwa watawala lakini vyenye kutia matumaini kwa wanyonge na maskini.
8. Tatizo kubwa la ajira hususani kwa vijana.
9. Kushuka kwa elimu ya Tanzania.
Kwa mtazamo wangu; haya na mengine ni chachu kubwa ya kuzaliwa kwa Tanzania ambayo wanyonge na maskini wanaitaka.