Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,145
- 4,292
Hivi ni mimi tu ndio siwaoni hawa jamaa zetu? Tangu uchaguzi uishe sijaona kabisa polisi mwenye nguo nyeupe.
Hata kama watakuwepo, nadhani wamekuwa hadimu sana hawa ndugu zetu watoza ushuru kwa njia ya barabara. Vipi pande zenu huko?
Hata kama watakuwepo, nadhani wamekuwa hadimu sana hawa ndugu zetu watoza ushuru kwa njia ya barabara. Vipi pande zenu huko?