Matrafiki wameenda wapi? Hawaonekani barabarani

Matrafiki wameenda wapi? Hawaonekani barabarani

Matrafiki walienda kuongeza nguvu kulinda vituo vya polisi tangu tarehe 30 Octoba
Kusikiliza, kusikilizwa, sikiliza umepewa masikio masikio wameumbiwa watu kusikiliza rudia neno kuwasikiliza maana kuna watu wanataka kusikilizwa na hawasikilizwi sasa kuna namna ya kumfanya mtu akusikilize hata km ni kiziwi ukimkata makwenzi mawili au matatu kwa muda fulani mfululizo atakusikiliza huku anaugulia maumivu, sasa mtu akitaka umsikilize mpe nafasi ya kumsikiliza na umtekelezee kile anachosema kuepuka migogoro isiyo na sababu usimzibe mdomo na kujiziba masikio haisaidii kitu sana sana unajitafutia balaa la kudumu
 
Kweli bana hawapo kbs road lbd huko mikoa ya waoga. Huku walipokinukisha wajeda tu ndio utawwaona
 
Wap0, ila zile siku tano hawakuwepo sababu kulikua hakuna magari barabarani...


Cc: Mahondaw
 
Kuna wale madogo walikua wanaosha vioo vya magari barabarani. Mtu upo kwenye foleni ghafla tu kioo kinasafishwa bila hata kuwaruhusu, nao naona wamepotea
 
Yapo tu, yalichopunguza ni kudai mali za kumwagilia vitambi kwa njia za panya.
 
Back
Top Bottom