Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Habari ndio hiyo mazee. Ukweli umemwagwa sakafuniIyangalo na Rmashauri, kuweni makini sana na kauli zenu,nyie ndio mnatuonesha kwamba mna itikadi za kidini...hivi maeneo ya kaskazini ambako kuna idadi kubwa ya wakiristo,je chadema nayo ilitumia udini kupata kura?maana Slaa kazi ya kutangaza dini ilimshinda akakimbilia maslahi ya siasa...sasa je na waislamu nao wasimame na kusema kwamba tusiwape chadema coz ni chama cha kidini? maana kuna mwehu mwenzenu mmoja aliropoka huko mwanza kwamba tuchague CHADEMA coz ni chama kitakachowasaidia watu wenye imani ya kikristo...kuna muislamu alipigia kelele kauli hiyo?au mtaka kuanza chokochoko...acheni udini bana, na wewe Gosbert eti pwani yote inanuka udini...haya sio maneno ya kuongea...kama tanga wamechagua watu wao wewe kaa kimya hawakuhusu...na wewe Slaa si kakufanyia mambo matamu,mchague tu...we tuache na udini wetu, at least tunayo dini...ukiulizwa wewe hapo dini yako yenyewe hata ktk holy scriptures utata mtupu...kaa kimya bana.