Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Kigoma mambo bado kabisa hata kama jana matokeo ya Ubunge yalitangazwa kihuni na msimamizi wa uchaguzi muda wa saa 2 usiku baada ya askari kuwatawanya wafuasi wa Chadema kwa mabomu. Baada ya kukusanywa matokeo katika kata zote CCM walishindwa kwa zaidi ya kura 300 baada ya mvutano mrefu ccm wakalazimishwa kura zihesabiwe upya hapo ndo walipochakachua. Chadema wameyakataa matokeo na wanasema wanachukua hatua mpaka kieleweke. Pia chadema inaongoza kwa kuwa na madiwani wengi