Matokeo ya TRA ya written ni kama A.I generated

Wasomi punguzeni malalamishi, mko wengi mnataka wote mpewe ajira?, hilo suala lishaisha endeleeni na mambo mengine, haitatokea siku ambayo serikali itamfuraisha kila mtu, sahau kuhusu hilo.

Mitego lazima iwepo ili mchujwe wabaki watu wanaowataka wao, kuendelea kulalamika sio solution bali kudai mabadiriko kupitia mifumo mipya ya elimu ya kuwatoa ktk hilo giza la kulilia ajira.
Anyway mitaani kazi nyingi hamzitaki, mnataka wote mjazane maofisini ili mukwapue kodi za wananchi😅.

Tafuteni skills&maarifa mapya acheni utumwa wa kulilia viajira vya kuutweza utu wenu.
 
Poleni sana wahusika.
Hayo maumivu ndio mamilioni ya watanzania huwa wanayapata kila uchaguzi wanapochagua wagombea wanaowataka lakini tume ya uchaguzi na vyombo vya dola kuamua kwa makusudi kuwabeba wagombea wa CCM wasiofaa.

Lakini ipo siku tu.
 
Mkisha lamba Asali ndo vimaneno vyenu hivyo!

Hujui wengine hata kula kwetu ni tabu tupu, na hizo kazi tunazitafuta na hazipatikan
 
Poleni sana wahusika.
Hayo maumivu ndio mamilioni ya watanzania huwa wanayapata kila uchaguzi wanapochagua wagombea wanaowataka lakini tume ya uchaguzi na vyombo vya dola kuamua kwa makusudi kuwabeba wagombea wa CCM wasiofaa.

Lakini ipo siku tu.
Kwahili sasa naanza kuona kweli hiki chama hakifai kabisa!
 
Kariakoo nilikuwepo zaman sana! Kwasasa nipo mtaani tuu ata sielewi,

TRA wameshachakata kanzi data, wanazidi kunifanya nidate..

Hapa nawaz kwenda kujishikiza kweny taasisi tu za watu angalau tupate ela ya kula
Hugs bruh ulipiga nn kwani, na mbn ulitoka kkoo huku ukijua maybe kazi ni changamoto sana 🤔
 
Custom 11 ilikuwa na watahiniwa zaidi ya 14000 na mtihani ulikuwa na jumla ya maksi 100. Kwa hiyo Ukigawanya watahiniwa 14000/100 = 140. Ina maana watahiniwa 140 au zaidi wanaweza kupata maksi zinazofanana.
Wewe ndiye mliyepata maksi mbili nini, bwashee?
 
Hugs bruh ulipiga nn kwani, na mbn ulitoka kkoo huku ukijua maybe kazi ni changamoto sana 🤔
Way back nilikuwa nakimbiza natembeza perfume hapo kariakoo naunga unga viada ada! Niliacha kipnd narudi school form five

Niliemwachia nikakuta kala mtaji woote na Hana hata mia.

Kwakua shule ilinibana ikabidi niendelee kusoma tuu maana nilikuwa nasomea mikoani huko
 
Nawasubiri veta hapa niwape ilimu ya kukaanga vitumbua.
 
Huo mgawanyo uangalie!! Kadili watu wanavyofeli ndo wanazidi kufanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…