pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 879
- 618
nashukuru pia sky-haf najua dogo langu atafurahi sana maana bado wapo jkt huko
Bandugu na wa nacte wamo? Yaani hawa watu wanatukera ile mbaya! Tumevumilia sana lakini sasa uvumilivu karibia utafika 0!
wa nacte wamo pia
pamoja sana,malizia malizia kula bata ukifika huko ni msuli mwanzo mwisho.Asante mkuu kweli nimeona tumo. Binafsi wamenipa chaguo langu la kwanza BVM!! Sasa tupumzike looh karibia tungeugua BP!
Selected Candidates for Undergraduate Degree Programmes 2013/2014
KARIBUNI SUA WADOGO ZANGUUUUU,,,:kev::kev::wave::wave: