Matokeo ya shule za Dsm na sababu ya kuwa za mwisho kitaifa

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
....mie nadhani sababu za shule mji wa Dar kuwa wa mwisho ni pamoja na;

...shule nyingi kuwa DAY na sio BOARDING,

...Boarding,huwa kuna mazingira rafiki ,kwa mwanafunzi kufanya vizuri,kwani hakuna vitu kama kugombania usafiri,na pia muda mwingi wanatumia kwenye masomo(prepo)n.k

Kugombania usafiri,mikazi ya nyumbani,na kwa sababu wako mjini,kujirusha kama kazi,sasa huyu atasoma saa ngapi?.......................

...Pia Dar watoto ni wengi,so mji unashika alama za mwisho,sababu wanafunzi hawapati one to one support darasani ,sababu wako wengi.................................................

hizi ni assumptions tu,je ni kweli shule za Boarding na zenye wanafunzi wachache ndio zinaoongoza???????sijafanya utafiti lol msinishushue
 
ugumu wa maisha inafanya usiku tutafute kipato mbadala,

kk security ndugu yangu tunainua kipato
 

kweli mkuu,inabidi kabla hatujafikia conclusion,tuangalie labda last five years Dar ilikuwa inaperform vipi,uchunguzi ndio uanzie hapo...............
 
Kuwa na mkuu wa mkoa Kilaza [HASHTAG]#DaudAlbertBashite[/HASHTAG]

hivi mnaamini hizo data za kupikwa????yaani afeli kote huko na bado anaendelea na vidato mpaka chuo,mpaka hapo kosa la nani kama sio system?
 
hivi mnaamini hizo data za kupikwa????yaani afeli kote huko na bado anaendelea na vidato mpaka chuo,mpaka hapo kosa la nani kama sio system?
Si alinunua cheti cha form 4 na akaendlea ktumia jona ambalo siyo lake asingeweza kutumia cheti chey Zero. So akanunua cha Paul Albert Myengi na chuo akaapanmahakan kubadili jina la ukoo na kutumia Makonda badala ya Myengi. Chet cha O level n Paul Christian Myengi wakat chuo kikuuu n Paul Christian Makonda wakati jina lake alilosomea O level n Daud Albert Bashite.
[HASHTAG]#Rebecca[/HASHTAG] 83
 
Si alinunua cheti cha form 4 na akaendlea ktumia jona ambalo siyo lake asingeweza kutumia cheti chey Zero. So akanunua cha Paul Albert Myengi na chuo akaapanmahakan kubadili jina la ukoo na kutumia Makonda badala ya Myengi. Chet cha O level n Paul Christian Myengi wakat chuo kikuuu n Paul Christian Makonda wakati jina lake alilosomea O level n Daud Albert Bashite.
[HASHTAG]#Rebecca[/HASHTAG] 83

thanks mkuu kwa kunidadavulia,lakini nani alimpaisha huko juu kama siojitihada zake mwenyewe,mie siamini kama alifoji form four,six na chuo ilikuwaje,ina maana na huko alitumia vyeti vya watu?jitihada za wachache kumchafua,na hazimake sense.
 
....mie nadhani sababu za shule mji wa Dar kuwa wa mwisho ni pamoja na;

...shule nyingi kuwa DAY na sio BOARDING,

...Boarding,huwa kuna mazingira rafiki ,kwa mwanafunzi kufanya vizuri,kwani hakuna vitu kama kugombania usafiri,na pia muda mwingi wanatumia kwenye masomo(prepo)n.k

Kugombania usafiri,mikazi ya nyumbani,na kwa sababu wako mjini,kujirusha kama kazi,sasa huyu atasoma saa ngapi?.......................

...Pia Dar watoto ni wengi,so mji unashika alama za mwisho,sababu wanafunzi hawapati one to one support darasani ,sababu wako wengi.................................................

hizi ni assumptions tu,je ni kweli shule za Boarding na zenye wanafunzi wachache ndio zinaoongoza???????sijafanya utafiti lol msinishushue
Kwel kabisa
 
Back
Top Bottom