maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,169
- 1,533
WanaJF,
Wakati tupo siku ya pili ya sensa ambapo baadhi yetu bado tunaendelea kusubiria makarani, tunafurahi viongozi wakuu wametuhakikishia kuwa wote tutafikiwa.
Asante sana viongozi wetu.
Nimesikia mpaka Sasa asilimia 36 ya kaya zimefikiwa ikionyesha kuwa tutafikia lengo hata kabla ya muda uliowekwa.
Mpaka siku ya pili kuisha matokeo ya awali ni kuwa wanawake wametuzidi kwa karibia 1,000,000. Tuondelee kufuatilia tuone kama wataendelea kuongoza mpaka mwisho.
Kama tulivyofuatilia uchaguzi wa Kenya😅😅😅
Wakati tupo siku ya pili ya sensa ambapo baadhi yetu bado tunaendelea kusubiria makarani, tunafurahi viongozi wakuu wametuhakikishia kuwa wote tutafikiwa.
Asante sana viongozi wetu.
Nimesikia mpaka Sasa asilimia 36 ya kaya zimefikiwa ikionyesha kuwa tutafikia lengo hata kabla ya muda uliowekwa.
Mpaka siku ya pili kuisha matokeo ya awali ni kuwa wanawake wametuzidi kwa karibia 1,000,000. Tuondelee kufuatilia tuone kama wataendelea kuongoza mpaka mwisho.
Kama tulivyofuatilia uchaguzi wa Kenya😅😅😅