Matokeo ya lulu kidato cha nne haya hapa

Eghorohe

JF-Expert Member
Aug 29, 2011
220
78
national examinations council of tanzania

csee 2011 examination results​


[h=2]NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA[/h][h=1]
CSEE 2011 EXAMINATION RESULTS​
[/h][h=3]
S3548 MIDWAY SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 10 FLD = 8 [/h]
CNO
SEX​
CANDIDATE NAME​
AGGT​
DIV​
DETAILED SUBJECTS​
S3548/0001​
F​
ANASA BAKARI KASULE
32​
IV​
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F COMP STUD-F B/MATH-F​
S3548/0002​
F​
ANASTAZIA AMRI PRUDENCE
33​
IV​
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F​
S3548/0003​
F​
DIANA BOSCO KISIOLY
28​
IV​
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-F LIT ENG-C BIO-D COMP STUD-F B/MATH-F COMM-F​
S3548/0004​
F​
ELIZABETH MICHAEL KIMEMETA
33​
IV​
CIV-F HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F​















s3548 midway secondary school div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 10 fld = 8



cno

sex​

candidate name​

aggt​

div​

detailed subjects​

s3548/0001​

f​
anasa bakari kasule

32​

iv​

civ-d hist-f geo-f e/d/kiislamu-d kisw-d engl-f bio-f comp stud-f b/math-f​

s3548/0002​

f​
anastazia amri prudence

33​

iv​

civ-d hist-f geo-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0003​

f​
diana bosco kisioly

28​

iv​

civ-d hist-d geo-d kisw-d engl-f lit eng-c bio-d comp stud-f b/math-f comm-f​
s3548/0004


f​
elizabeth michael kimemeta

33​

iv​



civ-f hist-d geo-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0005​

f​
esther benjamin malisa

30​

iv​

civ-d hist-d geo-d kisw-f engl-d bio-d comp stud-f b/math-f comm-f b/keeping-f​

s3548/0006​

f​
fatma abduly abduly

34​

fld​

civ-f hist-d geo-f kisw-f engl-f bio-f comp stud-f b/math-f comm-f b/keeping-f​

s3548/0007​

f​
josephine thadei mushi

26​

iv​

civ-c hist-c geo-d kisw-d engl-d lit eng-d bio-d comp stud-f b/math-f comm-f​

s3548/0008​

f​
mwajuma shabani kaoneka

-​

abs​

civ-x hist-x geo-x kisw-x engl-x bio-x b/math-x​

s3548/0009​

f​
nasra bernard msekwa

31​

iv​

civ-d hist-f geo-d kisw-f engl-d lit eng-d bio-f b/math-f comm-f b/keeping-f​

s3548/0010​

f​
raines fabian mathias

29​

iv​

civ-d hist-f geo-d kisw-f engl-f lit eng-c bio-f b/math-d comm-f b/keeping-d​

s3548/0011​

f​
zuhura said kinderu

33​

iv​

civ-f hist-f geo-d kisw-f engl-f lit eng-d bio-f comp stud-f b/math-f comm-f​

s3548/0012​

m​
evance aloyce kilawe

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f kisw-f engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0013​

m​
farid omary daud

34​

fld​

civ-f hist-f geo-d kisw-f engl-f bio-f comp stud-f b/math-f​

s3548/0014​

m​
francis eribariki malisa

31​

iv​

civ-f hist-d geo-d kisw-f engl-d bio-d comp stud-f b/math-f comm-f b/keeping-f​

s3548/0015​

m​
hussein keya mariri

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f kisw-f engl-f bio-f comp stud-f b/math-f​

s3548/0016​

m​
ikelesho samwel rutubesho

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f kisw-f engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0017​

m​
immamu said kinderu

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-f engl-f bio-f comp stud-f b/math-f​

s3548/0018​

m​
issa shehembe kuziwa

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f kisw-f engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0019​

m​
paul dions paul

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f kisw-f engl-f bio-f b/math-f​



examination centre ranking​

examination centre region​

dar es salaam​

total passed candidates​

10​

examination centre gpa​

4.5748​

centre category​

centre with less than 40 candidates​

centre position in its category(regionwise)​

43/53​

centre position in its category(nationwise)​

453/779​

examination centre divisions performance​

regist​

absent​

sat​

withheld​

no-ca​

clean​

div i​

div ii​

div iii​

div iv​

failed​

19​

1​

18​

0​

0​

18​

0​

0​

0​

10​

8​

examination centre subjects performance​

code​

subject name​

reg​

sat​

no-ca​

w/hd​

clean​

pass​

gpa​

reg/rank​

nat/rank​

011​

civics​

19​

18​

0​

0​

18​

7​

4.5556​

185/268​

2471/3901​

012​

history​

19​

18​

0​

0​

18​

6​

4.6111​

95/266​

1256/3872​

013​

geography​

19​

18​

0​

0​

18​

8​

4.5556​

122/268​

1986/3898​

015​

elimu ya dini ya kiislamu​

2​

2​

0​

0​

2​

1​

4.5000​

35/103​

262/631​

021​

kiswahili​

19​

18​

0​

0​

18​

5​

4.7222​

191/268​

2511/3901​

022​

english language​

19​

18​

0​

0​

18​

4​

4.7778​

180/268​

2297/3901​

024​

literature in english​

5​

5​

0​

0​

5​

5​

3.6000​

13/46​

37/162​

033​

biology​

19​

18​

0​

0​

18​

4​

4.7778​

200/268​

2951/3898​

036​

computer studies​

10​

10​

0​

0​

10​

0​

5.0000​

22/24​

62/70​

041​

basic mathematics​

19​

18​

0​

0​

18​

1​

4.9444​

232/268​

2856/3901​

061​

commerce​

8​

8​

0​

0​

8​

0​

5.0000​

185/202​

666/719​

062​

book-keeping​

5​

5​

0​

0​

5​

1​

4.8000​

78/201​

219/709​
 
Hehehe
Huwa namsikia akiishia Yes, No bila kuongeza maneno mengine kumbe ana Bendera ktk kingereza

Kwa matokeo hayo kulikuwa hakuna Future ktk mkondo wa elimu zaidi ya Maigizo na Mtikisiko wa ubongo
 
Mkuu binafsi sijaona kama Lulu anatatizo hapo, tatizo lipo wa shule yenyewe na walimu, haiwezekani shule ikawa na performance ya hivyo halafu tutegemee Lulu angefaulu, we never know may me angesoma shule yenye performance angefanya vizuri zaidi, MUNGU AMLINDE NA KUMUHEKIMISHA MTOTO WA WATU... Hili nalo litapita tu ktk njia yake mdogo wangu usisoneneke sana...
 
Mkuu binafsi sijaona kama Lulu anatatizo hapo, tatizo lipo wa shule yenyewe na walimu, haiwezekani shule ikawa na performance ya hivyo halafu tutegemee Lulu angefaulu, we never know may me angesoma shule yenye performance angefanya vizuri zaidi, MUNGU AMLINDE NA KUMUHEKIMISHA MTOTO WA WATU... Hili nalo litapita tu ktk njia yake mdogo wangu usisoneneke sana...

Mfano wako MFU si HAI
Je na yule mtoto wa Mh aliyesoma Feza je nae tusemeje?
 
Hii inaitwa 'asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu'. Mtoto wa kike mdogo tu usiku mkubwa anaenda kwa watu! Anaegongwa na gari akitoka kanisani analiliwa kuliko aliyegongwa akitoka ulevini! Hiyo ya Mungu kumuhekimisha akiwa segerea, kweli acheni Mungu aitwe Mungu manake yeye si mwanadamu!
Mkuu binafsi sijaona kama Lulu anatatizo hapo, tatizo lipo wa shule yenyewe na walimu, haiwezekani shule ikawa na performance ya hivyo halafu tutegemee Lulu angefaulu, we never know may me angesoma shule yenye performance angefanya vizuri zaidi, MUNGU AMLINDE NA KUMUHEKIMISHA MTOTO WA WATU... Hili nalo litapita tu ktk njia yake mdogo wangu usisoneneke sana...
 
3548/0004
f
elizabeth michael kimemeta33
iv​
civ-f hist-d geo-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f​
 
Mkuu binafsi sijaona kama Lulu anatatizo hapo, tatizo lipo wa shule yenyewe na walimu, haiwezekani shule ikawa na performance ya hivyo halafu tutegemee Lulu angefaulu, we never know may me angesoma shule yenye performance angefanya vizuri zaidi, MUNGU AMLINDE NA KUMUHEKIMISHA MTOTO WA WATU... Hili nalo litapita tu ktk njia yake mdogo wangu usisoneneke sana...

ah ah eti unautani na Mwanaasha da gama nn..huyu ukute ndo kasababisha darasa zima wafeli kwa kupenda starehe na kujihisi wapo na super sta..
 
Aiseee, me nashangaa sana, nawashangaa sana antagonistic wangu ktk uzi huu, binafsi naamini sote hatujakamilika, mbaya zaidi hujafa hujaumbika sisi pia tunaweza kuwa na watoto ambao kwa namna moja ama nyingine wakawa ni watukutu kwa namna yao hali ambayo inasababisha kero kubwa kwa jamii inayotuzunguka hasa majirani, ila kwakua sisi SIYO WANAMAARUFU huendi watoto wetu hawajulikani kama anavyojulikana mtoto/mdogo wetu LULU hivyo hata utukutu wa watoto wetu haufahamiki na wengi... Halafu tuseme ukweli wanajamvi wenzangu, KUNA YEYOTE ALIEKAMILIKA KATI YETU?? Jibu HAPANA, hii tafsiri yake ni kua wote tunafanya dhambi na kwa njia fulani kuna watu ambao watuchukia kwakua tuliwahi kuwakwaza wakati flani(naamini hili halini ubishi).. Hebu tua kidogo.!! Turudi ktk hayo matokeo hapo juu, tulitoe hilo jina la Elizabeth Michael "LULU" halafu assume kua unapitia matokeo hayo ili uone kama unaweza kumpeleka binti/kijana wako akapate urithi wa elimu ktk shule hiyo, vipi unaweza kumpeleka kweli akasome hapo?? Na imani jibu unalo na hitimisho lake ni kwamba hiyo shule ina "POOR PERFORMANCE", Hivyo basi naunguna na Yesu kusema kuwa "YEYOTE ANAEJIONA YEYE NI MSAFI BASI AWE WA KWANZA KUMTUPIA MAWE BINTI HUYO".. Mtoko jua mwema
 
Tena nina wasiwasi akawa anamiaka zaidi ya 18
Mfano labda kaanza shule akiwa na miaka
7+7=14+4=18+2=20
Or
6+7+4+2=19

Or
5+7+4+2=18

Or
4+7+4+2=17

Maono yangu tu,nimejumlisha miaka miwili nikimaanisha2010/4- 2011/4 na 2011/4-2012/4 hiyo ni miaka miwili

tena hapo sijaweka mwaka mmoja wa kozi ya kingereza
 
Mkuu binafsi sijaona kama Lulu anatatizo hapo, tatizo lipo wa shule yenyewe na walimu, haiwezekani shule ikawa na performance ya hivyo halafu tutegemee Lulu angefaulu, we never know may me angesoma shule yenye performance angefanya vizuri zaidi, MUNGU AMLINDE NA KUMUHEKIMISHA MTOTO WA WATU... Hili nalo litapita tu ktk njia yake mdogo wangu usisoneneke sana...

Nakuunga mkono, hiyo shule ni mbovu sana, wana wanafunzi 19 na wameshindwa kupata hata div 3. Kwa kawaida ukiwa na wanafunzi wachache ina maana unaweza kuwapa attention ya karibu zaidi, hizi zitakuwa zile shule ili mradi.
 
hayo ni matokeo ya kawaida ukizingatia mazingira na maisha aliyokuwa anaishi. huwezi tarajia performance ya hali ya juu wakati all the time anawaza kujirusha na kutanua tu.... japo pia shule zetu zingine vimeo, akili binafsi nazo husaidia.
hii ndo tatizo la vijana wanaochipukia hawaoni umuhimu wa elimu zaidi ya kuwaza maisha ya starehe... [uzuri wa mtu uko kichwani na kila kitu utafanikiwa]
 
Kimemeta aliliambia Mwananchi jana kuwa mwanawe huyo alizaliwa Aprili 17 mwaka 1995 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).

“Nataka nikuambie (mwandishi) mwanangu atatimiza umri wa miaka 17 ifikapo Aprili 17 mwaka huu. Sasa ana umri wa miaka 16 na ni mtoto. Tunavyosikia Kanumba alikuwa mpenzi wake inatuuma sana,” alisema.


source gazeti mwananchi
 
Back
Top Bottom