Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
Nasubiri matokeo kutoka Rungwe ya Prof. Mwandosya, maana nilimuonya rafiki yangu Steve Mwaka atulize boli kwanza asubiri 2015 kwa kuwa nina uhakika Prof hawezi kugombea mwaka huo iwapo atakosa chepuo la urais.
Huko uhitaji hata kusubiri. Lazima Prof. kachukua kitu. Yuko juu sana.