HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,364
- 94,545
AiseeeMwanangu amefaulu
Kwa matokeo ya mwendokasi ukifeli ni jinga kabisa.
Nahisi ningesoma enzi hizi za mwendokasi ningekuwa ndani ya top 100
AiseeeMwanangu amefaulu
Minimum qualifications ni 4 points ambazo ni DD, huyo ana CE ambazo ni C= 3, E= 1,jumla 4 points. Chuo naamini atapata.Wakuu kuna dogo kapata alama C E E, je huyu chuo ataenda kweli au ndio tumwandalie shamba?
KisimiriShule ya kwanza ni ipi
hapo mkuu sidhani, maana afadhali angekuwa na SDD ambayo pia ni point 14 ila kwa hiyo sidhani maana wanaconsider sana D mbiliHebu nielewesheni Maana hapa katikati Kuna mabadiliko mengi Sana katika selection, mtu mwenye EED point 14 ya PGM anaweza kuchaguliwa kusoma chuo kweli
Ahsante mkuuhapo mkuu sidhani, maana afadhali angekuwa na SDD ambayo pia ni point 14 ila kwa hiyo sidhani maana wanaconsider sana D mbili
Kisimiri ya ArushaShule ya kwanza ni ipi
Foundation course hamna siku hizi?hapo mkuu sidhani, maana afadhali angekuwa na SDD ambayo pia ni point 14 ila kwa hiyo sidhani maana wanaconsider sana D mbili
Mkuu huyo kwa saiv changamoto ipo sana ....aandaliwe mtaji na akabidhiwe kwa mkataba tu..hlf saiv kusoma hakuna mantiki sana
Wakuu kuna dogo kapata alama C E E, je huyu chuo ataenda kweli au ndio tumwandalie shamba?
Duh basi elimu imekuwa ngumu sana maana enzi zetu ilikuwa ukiwa na hizo marks mapema sana degree unaenda.
Hebu nielewesheni Maana hapa katikati Kuna mabadiliko mengi Sana katika selection, mtu mwenye EED point 14 ya PGM anaweza kuchaguliwa kusoma chuo kweli
Anapata lkn private au labda kama ana mibuyu huko vyuo vya serikali pia inategemea ufaulu wa mwaka huu PCB umekuwajeKuna dogo kapata
Physics B
Chem C
Bios C
Anaweza pata chuo cha udaktari bongo ukitoa muhimbili cha serikali , sijui hata admissions zmekaaje miaka hiki
Msaada tafadhali
Foundation coarse siku hizi inatolewa open university tu; vyuo vingine haviruhusiwi.Foundation course hamna siku hizi?
mwaka jana ilikuwepo pale OUT nafikiri inaendelea nadhani ipoFoundation course hamna siku hizi?