Mkuu website ya necta was down jana na leo earlier on ! na hii issue ya voda tangazo ilikuwa linapita hapo hapo kwenye website ya necta ...hamna hadithi hapa.
thats true but lets not divert from the main complaint of the thread.. je unakubaliana na wizara ya elimu kutumia kampuni ya simu binafsi na kuwapa exclusive tender ya kutangaza sensitive issue kwa jamii kama majibu ya mitihani? na wasio na line voda je?
Kama watanzania wengi wenye ndugu ambao wamemaliza form 4. Kitu kimoja kimenishangaza sana kwanini taasisi ya serikali inaweka tangazo kwamba kama mwanafunzi anataka kuona majibu kwa njia ya simu ni lazma awe na line ya VODACOM ilI apate majibu hayo! Serikali kuweni makini hio kitu haina manufaa kwa jamii husika kwasabau mnajua kabisa kwamba watu wanatumia line tofauti.
Over and out
WAFANYAKAZI SERIKALINI KUWENI MAKINI NA MIKATABA YA KIJINGA MNAYOINGIA AMBAYO HAINA MANUFAA KWA WALENGWA.
halafu mnasema CCM wana udini, udini uko hapa kwenu wenye blogu, msifurahie hawa watoto kufeli, wala kuwashindanisha, mtakapokuwa wazee hawa ndio watakuwa madaktari feki,
hapa kuna shule za aina nyingi,
zenye wanafunzi zaidi ya 40 au pungufu,
za mchanganyiko wa sex au kutofautisha,
za serikali au binafsi
za serikali vipaji maalum au za kata
za dei au boarding
zenye A level pia au O level tu
za mijini au vijijini
zenye zaidi ya miaka kadhaa au mpya,
za binafsi za dini au binafsi wasio dini, au seminari
nk
nk
hebu tuchanganue kote huko tuangalie tatizo liko wapi
Wakuu, Mi niefuatilia matokeo ya Form four yanatiusha sana, kiwango kimeshuka sana mwaka huu. Ila kuna mambo mengi sana yanachangia
•Kumjaribu mtu kwa masaa 2-3 ni uonevu mkubwa. Inawezekana mwanafunzi akawa anfanya vizuri sana darasani laniki siku ya mtihani akawa hajisikii vizuri. Cha kufanya ni kwamba, NECTA ingeanzisha utaratibu mpya wa kutahini wanafunzi kwa awamu mbili. Moja kuchukua wastani wa miaka yote mine na uwe na uzito wa alama 30%, then mtihani wa mwisho uwe na uzito wa alama 70%. Hata vyuo wanafanya hivi pia. Waanade form za kujazwa ambazo pia mkurugenzi wa elimu wilaya na kanda atazikagua ili kupunguza degree ya kuchakachua. Hii itasaidia pia wanafunzi kusoma kwa bidii.
•Serikali kuangalia upya utitiri wa mashule yanayofunguliwa yasiyo na ubora wala walimu wa kudumu.
•Kuwe na Library ya kujisomea shuleni, shule nyingi za kata hazina library.
•Kupiga marufuku Tuition zote na kupitisha sheria kufanya kitendo hiki kua kosa la jinai.
•1.Kufanya elimu ya form Six kua ya lazima.
•Kubadilisha mitaala shule ili kumwezesha mwanafunzi pindi amalizapo form four angalau awe na ujuzi wowote kama userimala, ufundi, upishi, ufugaji wa kuku, kitimoto n.k
•2.Shule ambazo azifaulishe zipewe adhabu kali kwani wanakula ada tu za wanafunzi bila kutoa elimu bora.
Hilo ndio suluhisho pekee!!!1. Wajameni, hili nalo litasaidiaje watoto kufaulu kidato cha nne?
2. Shule kama haitoi elimu bora, usimpeleke mwanao. Sasa mwanao kashindwa interview kwenye shule nzuri (nyingi za Katoliki) inabidi umpeleke popote; na matunda yake ndiyo hayo. Lingine ni kwamba shule nzuri gharama yake ni kubwa, hivyo ukichagua gharama ndogo si budi hukubali matokeo.
Hapo kwenye red mkuu nadhani umeteleza kidogo! Mie naona magazeti yote ya leo yametenga kurasa kadhaa kwa ajili ya kutangaza matokeo. Na ili uweze kuyaona itakubidi ununue gazeti so sio sahihi kusema Vodacom wamepewa exclusive tender ya kutangaza matokeo. Au ni kwa vile tu ina uhusiano na RA! Watu bwana!