WAKATI MIMI NAMALIZA DARASA LA SABA, Wanafunzi wachache sana walikuwa wakifaulu na wachache zaidi (shule nyingi si zaidi ya watano) walichaguliwa kuendelea na masomo ya sekondari!! watu walikuwa hawashangai, leo hi darasa la saba si kikwazo tena wote wana pita, hakuna mchujo wowote hadi form Four! tunategemea nini??? tupate one na two nyingi???, haiwezekani, haipooo!, halafu Mpishi unamdharau huku ukitegemea chakula kizuri? Never!!!!
Nafikiri serikari iunde tume tu ili angalau tusahau kwa muda alafu mwishowe ikae kimya kabisa hatutapiga kelele !! Tushasahauuu!!!
Nafikiri serikari iunde tume tu ili angalau tusahau kwa muda alafu mwishowe ikae kimya kabisa hatutapiga kelele !! Tushasahauuu!!!